Ole Sabaya: Doa jeusi kwa utawala wa Hayati Magufuli

Naona wameimerge humu ndani mkuu wangu.....

 
Kitu cha kushangaza wengi wanao mponda Sabaya ni walewale wanao mshabikia Hangaya.
Yaani wanasahau Hangaya ni moja ya serikali iliyokuwepo kipindi cha Sabaya.
 
Kitu cha kushangaza wengi wanao mponda Sabaya ni walewale wanao mshabikia Hangaya.
Yaani wanasahau Hangaya ni moja ya serikali iliyokuwepo kipindi cha Sabaya.
Tumnyonge mnyonge ila haki yake tumpe,unadhani angekuwepo naniii yule hii kesi ya Sabaya ingekuwepo?
 

..swali nj kwamba ilikuwaje Sabaya akafanya mambo yote hayo bila wakubwa zake kumchukulia hatua?

..utakumbuka kwamba kipindi cha Magufuli wateule mbalimbali walikuwa wanafuatiliwa kwa karibu, na hata mawasiliano yao kudukuliwa.

..Mara kwa mara Magufuli alinukuliwa akisema anajua kila wanachofanya wateule wake.

..Na zipo kumbukumbu za DC aliyetumbuliwa kwa sababu ya tabia mbaya ya ugoni. Sasa ilikuwaje DC mgoni atumbuliwe, halafu DC jambazi aachwe atambe anavyotaka?
 
Tumnyonge mnyonge ila haki yake tumpe,unadhani angekuwepo naniii yule hii kesi ya Sabaya ingekuwepo?
Sawa isingekuwepo ila mpo tayari mumkingia kifua Hangaya asihusike?
Na mnakumbuka Sabaya alivyo mtaja Mpango na yule wa sijui wa BoT
 
Sawa isingekuwepo ila mpo tayari mumkingia kifua Hangaya asihusike?
Na mnakumbuka Sabaya alivyo mtaja Mpango na yule wa sijui wa BoT
Tupo tayari na nani? Mimi simuwakilishi mtu yeyote nasema hivyo kwa utashi wangu,sipo tayari kumkingia kifua Ila angalau kaonyesha hakuridhishwa na maaamuzi ya Boss wake, sio yeye tu wapo wengi.
 
Naunga mkono hoja. MBOWE alitaka kuiteka nchi kwa kutumia silaha kali sana aina ya Lugar yenye risasi tatu
 
Hizo baraka za kutoka juu ndio haswa doa jeusi linalozungumziwa. Penye ukweli hatuna budi kusema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…