Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
[FONT=bookman old style, new york, times, serif]Mbunge wa Simanjiro Christopher Ole Sendeka ameongezewa shitaka la kumtishia kumpiga kwa bastola Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Arusha, James Ole Millya.[/FONT]
[FONT=bookman old style, new york, times, serif][/FONT]Shitaka hili liliongezwa leo wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa. Waendesha mashitaka wanadai kuwa utaita [FONT=bookman old style, new york, times, serif] mashahidi 13, akiwepo Mkuu wa mkoa wa Singida, Vicent Parseko Kone ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Simanjiro na viongozi wengine kadhaa wa CCM. [/FONT]
[FONT=bookman old style, new york, times, serif]Mwendesha mashitaka wa serikali, Michael Luena alilitaja shitaka la kwanza linalomkabili Sendeka kuwa ni shambulio ambalo anatuhumiwa kumpiga ngumi na kibao Millya Januari 9 mwaka huu wilayani Monduli na kumsababishia majereha.[/FONT]
[FONT=bookman old style, new york, times, serif][/FONT] Shitaka la pili ni [FONT=bookman old style, new york, times, serif]kumtishia kumpiga risasi Millya kwa kutumia bastola yake yenye namba BA5522.[/FONT]
[FONT=bookman old style, new york, times, serif][/FONT]Shitaka hili liliongezwa leo wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa. Waendesha mashitaka wanadai kuwa utaita [FONT=bookman old style, new york, times, serif] mashahidi 13, akiwepo Mkuu wa mkoa wa Singida, Vicent Parseko Kone ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Simanjiro na viongozi wengine kadhaa wa CCM. [/FONT]
[FONT=bookman old style, new york, times, serif]Mwendesha mashitaka wa serikali, Michael Luena alilitaja shitaka la kwanza linalomkabili Sendeka kuwa ni shambulio ambalo anatuhumiwa kumpiga ngumi na kibao Millya Januari 9 mwaka huu wilayani Monduli na kumsababishia majereha.[/FONT]
[FONT=bookman old style, new york, times, serif][/FONT] Shitaka la pili ni [FONT=bookman old style, new york, times, serif]kumtishia kumpiga risasi Millya kwa kutumia bastola yake yenye namba BA5522.[/FONT]