GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tunawajua ndani nje na kama kuna ' Uchawi ' wenu ambao huwa kila mkiwa Mkoani Mwanza katika Mechi yoyote ngumu mnautumia na huwa unawasaidia kwa 99.9% ni wa kwenda ' Kuiba ' Maiti Usiku Hospitalini kisha mnaifukia Uwanjani na baada ya Mechi mnaifukua.
Si mnajifanya mnajua Mpira na nyie ni Mabingwa wa Kihistoria hapa nchini? Sasa kwanini kuanzia jana mnawasumbua tu Madaktari wa Hospitali za hapo Mkoani Mwanza huku mkijenga Urafiki wa Kulazimisha na Wahudumu wa Vyumba vya Maiti hapo Mkoani ili ' Muwahonge ' na ' Muibe ' Maiti mkaifanyie ' Uchawi / Ndumba ' ili ' Mwarabu ' afungwe Jumapili hapo Kirumba?
Na Daktari yoyote au Hospitali yoyote itakayowapa hawa Watu ' Maiti ' ili waifanyie ' Ushirikina ' wao naenda ' Kuwaumbua ' hapa hapa na katika hili sitanii kwani nina Hasira sana nanyi hasa baada ya Roho Mbaya mliyotuonyesha wakati tukicheza na UD Songo ' Kwa Mchina ' Temeke. Na ' Waarabu ' baadhi wapo Mjini na Sisi ndiyo tumewapokea na tunawapa Maelekezo yote. Na hata wakiingia Vyumbani Kirumba Vyumba vitapimwa ili kama kuna ' Sumu ' ambayo ' Kitaalam ' tunaita 4-4-2 imewekwa / mmeiweka basi ' muumbuke ' na ' mfutwe ' kabisa na CAF.
Ubaya Ubayani tu na mlianza Sisi sasa tunamaliza
Ole wenu!
Si mnajifanya mnajua Mpira na nyie ni Mabingwa wa Kihistoria hapa nchini? Sasa kwanini kuanzia jana mnawasumbua tu Madaktari wa Hospitali za hapo Mkoani Mwanza huku mkijenga Urafiki wa Kulazimisha na Wahudumu wa Vyumba vya Maiti hapo Mkoani ili ' Muwahonge ' na ' Muibe ' Maiti mkaifanyie ' Uchawi / Ndumba ' ili ' Mwarabu ' afungwe Jumapili hapo Kirumba?
Na Daktari yoyote au Hospitali yoyote itakayowapa hawa Watu ' Maiti ' ili waifanyie ' Ushirikina ' wao naenda ' Kuwaumbua ' hapa hapa na katika hili sitanii kwani nina Hasira sana nanyi hasa baada ya Roho Mbaya mliyotuonyesha wakati tukicheza na UD Songo ' Kwa Mchina ' Temeke. Na ' Waarabu ' baadhi wapo Mjini na Sisi ndiyo tumewapokea na tunawapa Maelekezo yote. Na hata wakiingia Vyumbani Kirumba Vyumba vitapimwa ili kama kuna ' Sumu ' ambayo ' Kitaalam ' tunaita 4-4-2 imewekwa / mmeiweka basi ' muumbuke ' na ' mfutwe ' kabisa na CAF.
Ubaya Ubayani tu na mlianza Sisi sasa tunamaliza
Ole wenu!