GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nina taarifa za uhakika kuwa ameshawaomba Radhi Waandamizi wa Simba SC na kuomba kurejea Simba SC 2025/2026.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba sio club ya kuchukulia pensionArudi tu ,hakuna mkamilifu duniani ukiwemo wewe mtoa post hii
Atapelekwa Simba queensNina taarifa za uhakika kuwa ameshawaomba Radhi Waandamizi wa Simba SC na kuomba kurejea Simba SC 2025/2026.
Ingekuwa hivyo angekuwa Kutwa analalamika kupitia Wachezaji wa Simba SC ambao ni Washkaji zake kuwa hamumjali?Sisi yanga tumemsajiri ili atusaidie kimataifa. Extension contract soon yet to be signed
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi Chama niko utopoloni . Niliamua kuja kuungana na wazee wenzangu hakina Aucho ili tubebe ubingwa wa CAFCL mwaka huu.
Hivyo makolo kaeni kwa kutulia kwani mwezi Mei mwaka huu 2025 mtanishuhudia kwenye runninga nikinyanyua kombe la CAFCL sambamba na wazee wenzangu Aucho , shuaboy , mkude , Duara , pacome na NzegeliView attachment 3245187
Amekuwa kijana baada ya kwenda Yanga SCNina taarifa za uhakika kuwa ameshawaomba Radhi Waandamizi wa Simba SC na kuomba kurejea Simba SC 2025/2026.