Olimpiki 2036 huenda ikafanyika Qatar

Olimpiki 2036 huenda ikafanyika Qatar

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Kama mnavyojua Wamanga hawana dogo, wameshaanza maandalizi kuomba ku-host 2036 Summer Olympics. Hapa kwetu Lisu anakashifu "Sponsors" wanaoweza kumnunulia gari ndani ta Sekunde.

2. Tujipange tukachukue Medali Qatar.

3. Mwaka 2036 sijui Rais atakua Nani aisee
 
1. Kama mnavyojua Wamanga hawana dogo, wameshaanza maandalizi kuomba ku-host 2036 Summer Olympics. Hapa kwetu Lisu anakashifu "Sponsors" wanaoweza kumnunulia gari ndani ta Sekunde.

2. Tujipange tukachukue Medali Qatar.

3. Mwaka 2036 sijui Rais atakua Nani aisee
Sisi tupambanie kwenda Dodoma na SGR kwa Tsh 1,000
 
1. Kama mnavyojua Wamanga hawana dogo, wameshaanza maandalizi kuomba ku-host 2036 Summer Olympics. Hapa kwetu Lisu anakashifu "Sponsors" wanaoweza kumnunulia gari ndani ta Sekunde.

2. Tujipange tukachukue Medali Qatar.

3. Mwaka 2036 sijui Rais atakua Nani aisee
Safiii
 
Back
Top Bottom