KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 May 22, 2012 #1 Yanatumika pia kupikia msosi?
Ndahani Platinum Member Joined Jun 3, 2008 Posts 18,160 Reaction score 9,151 May 22, 2012 #2 Hiyo Biashara ya Don Coleorne New York...huku kwetu sijui imekaaje
F FJM JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 8,081 Reaction score 6,200 May 22, 2012 #3 KakaJambazi said: Yanatumika pia kupikia msosi? Click to expand... Sana tu kiongozi na ladha yake ni nzuri sana kwenye chakula ila angalia usikaushe bank balance yako maana ni very expensive hayo mafuta.
KakaJambazi said: Yanatumika pia kupikia msosi? Click to expand... Sana tu kiongozi na ladha yake ni nzuri sana kwenye chakula ila angalia usikaushe bank balance yako maana ni very expensive hayo mafuta.
Z Zion Train JF-Expert Member Joined Jun 5, 2008 Posts 501 Reaction score 78 May 22, 2012 #4 yanauzwaje kwa chupa ya 750 ml ?
MAMA POROJO JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 4,974 Reaction score 785 May 22, 2012 #5 Zion Train said: yanauzwaje kwa chupa ya 750 ml ? Click to expand... Inategemea na duka lakini ni kati ya shilingi 12,000.00 hadi 25,000.00
Zion Train said: yanauzwaje kwa chupa ya 750 ml ? Click to expand... Inategemea na duka lakini ni kati ya shilingi 12,000.00 hadi 25,000.00
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,095 May 22, 2012 #6 Na kutapisha tumbo je?
Mupirocin JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 1,739 Reaction score 748 May 22, 2012 #7 Mafuta mazuri sana hasa kwa watu wenye hypertension na cardiovascular diseases, lakini pia hata kwa afya kuzuia magonjwa hayo tajwa. Ili kujua faida zake search olive oil kwenye wikipedia via Google.
Mafuta mazuri sana hasa kwa watu wenye hypertension na cardiovascular diseases, lakini pia hata kwa afya kuzuia magonjwa hayo tajwa. Ili kujua faida zake search olive oil kwenye wikipedia via Google.