Tatizo la maji na umeme haliwezi kuisha Tanzania kama serikali isipochukua hatua hayo maeneo uliyoyataja ni ya wafugaji na wengi wamekuwa watu wa kuhama hama hivyo kulazimu kila mwaka kupangiwa allocation mpya ya maji na umeme ila tatizo sio kubwa kama ulivyoripoti hapa.