assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
[h=2]"atenzwa"???[/h]
avunjwa nguvu"atenzwa"???
Nadhani ni kilugha hicho... ata mimi nimepata tabu kidogo.
Nadhani ni kilugha hicho... ata mimi nimepata tabu kidogo.
Bi Sophia amefiwa na nani? mpenzi/mume/ n.k
ok asante kwa taarifa na pole kwa familia yake.kafiwa na mtoto wake wa kuzaa
[h=2]"atenzwa"???[/h]
[h=2]"atenzwa"???[/h]
kafiwa na mtoto wake wa kuzaa
kutenzwa nguvu maana kuzidiwa nguvu.
kwa hapa amepunguzwa makali kwa kuondoshwa bungeni ili makeke yake yasionekane
"Kutenza nguvu" ni kubaka na sii vinginevyo
kwa maana hiyo mleta thread kama alikuwa hajui na ajue kisha arekebishe haraka.