Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,897
- 7,074
Olympiacos ndiye atakuwa bingwa mpya wa Europa league baada ya kuitoa Arsenal, hawa jamaa mpira wanaujua na hawabahatishi kama nyumbu wengine, kwa hiyo ni suala la muda tu bingwa kupewa kombe lake.Kuitoa Arsenal inawapa nguvu ya kupambana na vibonde waliobakia, my prediction fainali itakuwa kati ya Fc Internazionale milano vs Olympiacos Fc.
#Nawasilisha.[emoji120][emoji120]
#Nawasilisha.[emoji120][emoji120]