Tanzania ni yetu tunaipenda ni yetu sote. Kombe la dunia limeshaanza limesheheni wanamichezo lukuki japo wengine wameibukia kuwa na positive covid 19 hivyo kuwanyima fursa hii njema.
Swali shirikishi sisi kama Tanzania tuko
Kundi gani? Nimewaona ndugu zetu Malawi, Madagascar mzee wajalala alikoenda kunywa kikombe!!
Sisi bado tunahangaika na upinzani hatuendi kokote!!?
Swali shirikishi sisi kama Tanzania tuko
Kundi gani? Nimewaona ndugu zetu Malawi, Madagascar mzee wajalala alikoenda kunywa kikombe!!
Sisi bado tunahangaika na upinzani hatuendi kokote!!?