Mara Olympic mara kombe la dunia hata ueleweki, huko japenga tupo upande wa riadha tu kwa kupeleka wanariadha watatu na watu wakuwafanya washiriki vyema 7Tanzania ni yetu tunaipenda ni yetu sote. Kombe la dunia limeshaanza limesheheni wanamichezo lukuki japo wengine wameibukia kuwa na positive covid 19 hivyo kuwanyima fursa hii njema.
Swali shirikishi sisi kama Tanzania tuko
Kundi gani? Nimewaona ndugu zetu Malawi, Madagascar mzee wajalala alikoenda kunywa kikombe!!
Sisi bado tunahangaika na upinzani hatuendi kokote!!?
Jibu hoja acha vioja.Maana jibu liko wazi miaka 60 toka uhuru hakuna tunachokiweza.Kwa ujumla hakuna sekta tunayojivunia zaidi yakupiga domo na kuoneana kwa mambo yakijinga.Wewe kweli ni chura
Hilo "kombe la dunia" limeanza lini mkuu?Jibu hoja acha vioja.Maana jibu liko wazi miaka 60 toka uhuru hakuna tunachokiweza.Kwa ujumla hakuna sekta tunayojivunia zaidi yakupiga domo na kuoneana kwa mambo yakijinga.
Tanzania ni yetu tunaipenda ni yetu sote. Kombe la dunia limeshaanza limesheheni wanamichezo lukuki japo wengine wameibukia kuwa na positive covid 19 hivyo kuwanyima fursa hii njema.
Swali shirikishi sisi kama Tanzania tuko
Kundi gani? Nimewaona ndugu zetu Malawi, Madagascar mzee wajalala alikoenda kunywa kikombe!!
Sisi bado tunahangaika na upinzani hatuendi kokote!!?