Oman rial to Tanzania sh.

Oman rial to Tanzania sh.

Qunax

Senior Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
100
Reaction score
127
Hebu wataalamu naomba mnielekeze kidogo juu ya hili, mbona kila siku tunasikia currency kubwa dunian sijui ni us dollar, mara pound mara euro mbona najaribu kuchek exchange rate ya Oman rial yenyewe ndio inaonekana iko juu zaidi. Yaan sh.1 yao kwetu 5000 wakati hizo dollar na nyingine zinacheza kwenye 2000.
731af7c6018379f2bcbb8df83d11554e.jpg
 
Hizo rial za Oman ,pamoja fedha nyingi za Waarabu zinathamani kubwa kulinganisha na paundi, euro hata dola.
Tatizo ni kwamba dola imehodhi kutumika kwenye biashara za kimataifa.
Dola ya USA inatumika kama kipimo kwa fedha zozote hapa duniani, na ni mkakati maalumu uliowekwa na watu maalumu kwa lengo maalumu, ambalo ni kutawala Dunia.

Doller inatumika kama SI Standard Unit ya fedha nyingine.

NB: Huu ni mtazamo wangu tu, si vinginevyo.
 
Hii ndiyo currency yenye nguvu kuliko yoyote ile duniani. Tatizo Waarabu hawana umoja wangekuwa na umoja na kuamua kuwa na currency moja kama vile Euro € au kuifanya hii currency ya Oman ndiyo pesa yao na kutaka yeyote anayenunua mafuta ya nchi yoyote ile ya kiarabu kutumia pesa yao badala ya $ basi wangenufaika zaidi. Kumekuwa na tetesi hii miaka ya karibuni kwamba baadhi ya nchi za kiarabu zingeamua kuachana na dollar lakini zimebaki kuwa ni tetesi tu.
 
Hii ndiyo currency yenye nguvu kuliko yoyote ile duniani. Tatizo Waarabu hawana umoja wangekuwa na umoja na kuamua kuwa na currency moja kama vile Euro € au kuifanya hii currency ya Oman ndiyo pesa yao na kutaka yeyote anayenunua mafuta ya nchi yoyote ile ya kiarabu kutumia pesa yao badala ya $ basi wangenufaika zaidi. Kumekuwa na tetesi hii miaka ya karibuni kwamba baadhi ya nchi za kiarabu zingeamua kuachana na dollar lakini zimebaki kuwa ni tetesi tu.

Mkuu sawa kabisa, tatizo lililopo hawa Rockfeller na jamaa zao wamewaingiza mamluki kila eneo ili kudhibiti mambo kinyume na matakwa yao.
Hilo litaendelea kuwa tetesi hivyo hivyo.
 
Gaddafi akitaka iwe hivyo kuweka pesa maalum ya kunulilia mafuta na isiwe dollars.

Kuna wenye kuitawala Dunia hii na Sera zao hawa Bilderberg Group yenye wajumbe kama 150 na mikutano yao ya siri.
 
Watu mnachukulia dollar ka vile imewekwa na shetani kuwatawala. Si kweli, dollar inatumika dunia nzima simply because Marekani pamoja na kua na population ambayo ni less than 10% ya dunia, bado wao wana consume almost nusu ya world resources. Hii inaonyesha wazi kua jamaa wanafanya biashara na almost kila nchi. Hna nchi inakaribia hapo so ni natural kabisa USD kua kipimo.

Ila turudi kwenye ukweli kua exchange rate haidetermine maisha ya watu, hata S.Korea inapitwa na Kenya kwa thamani ya pesa ila uchumi wa S.Korea ni wa 12 duniani, way ahead Kenya huwezi hata compare.

Tatizo la kushuka thamani inaweza sababisha export ya bidhaa zikaonekana cheaper sana kwa foreign countries na hili mnaweza hisi ni baya ila manufacturing companies wanaweza tumia mwanya huu kudominate external market, tatizo linakuja kwenye import, tutaona zimepanda bei sana, import itakua ngumu, kama country ina manufacture kila kitu ndani hili linaweza lisionekane ila kama Tz vitu vingi tunanunua nje liko wazi kabisa.
 
Watu mnachukulia dollar ka vile imewekwa na shetani kuwatawala. Si kweli, dollar inatumika dunia nzima simply because Marekani pamoja na kua na population ambayo ni less than 10% ya dunia, bado wao wana consume almost nusu ya world resources. Hii inaonyesha wazi kua jamaa wanafanya biashara na almost kila nchi. Hna nchi inakaribia hapo so ni natural kabisa USD kua kipimo.

Ila turudi kwenye ukweli kua exchange rate haidetermine maisha ya watu, hata S.Korea inapitwa na Kenya kwa thamani ya pesa ila uchumi wa S.Korea ni wa 12 duniani, way ahead Kenya huwezi hata compare.

Tatizo la kushuka thamani inaweza sababisha export ya bidhaa zikaonekana cheaper sana kwa foreign countries na hili mnaweza hisi ni baya ila manufacturing companies wanaweza tumia mwanya huu kudominate external market, tatizo linakuja kwenye import, tutaona zimepanda bei sana, import itakua ngumu, kama country ina manufacture kila kitu ndani hili linaweza lisionekane ila kama Tz vitu vingi tunanunua nje liko wazi kabisa.
Kwa muonekano wa haraka haraka utadhani real iko juu kuliko dollar au pound. Ngoja niwafahamishe kama mtanielewa.. dollar moja au pound moja ina senti 100 lakini real 1 ina senti 1000 kwa hiyo ktk kila dollar au pound 1 zimekusanyika senti 100 kufanya ile dollar kuitwa 1 na kwenye real 1 wamekusanya senti 1000 kuita real 1. Hiyo ndio tofauti yake lakini haifanyi real kuwa strong
 
Hii ndiyo currency yenye nguvu kuliko yoyote ile duniani. Tatizo Waarabu hawana umoja wangekuwa na umoja na kuamua kuwa na currency moja kama vile Euro € au kuifanya hii currency ya Oman ndiyo pesa yao na kutaka yeyote anayenunua mafuta ya nchi yoyote ile ya kiarabu kutumia pesa yao badala ya $ basi wangenufaika zaidi. Kumekuwa na tetesi hii miaka ya karibuni kwamba baadhi ya nchi za kiarabu zingeamua kuachana na dollar lakini zimebaki kuwa ni tetesi tu.
Wako busy na kueneza dini, msiwajadili
 
Hii ndiyo currency yenye nguvu kuliko yoyote ile duniani. Tatizo Waarabu hawana umoja wangekuwa na umoja na kuamua kuwa na currency moja kama vile Euro € au kuifanya hii currency ya Oman ndiyo pesa yao na kutaka yeyote anayenunua mafuta ya nchi yoyote ile ya kiarabu kutumia pesa yao badala ya $ basi wangenufaika zaidi. Kumekuwa na tetesi hii miaka ya karibuni kwamba baadhi ya nchi za kiarabu zingeamua kuachana na dollar lakini zimebaki kuwa ni tetesi tu.
Wako busy na kueneza dini, msiwajadili
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Naona sasa mnataka kuwashtua maKafir !!
huo ni uchochezi.. wataanzisha fitina na vita itafuata kama Libya ya Gadaffi na Iraq ya Sadm !!
currency zote duniani zina thamani ya kujikimu !!
 
Back
Top Bottom