akizungumza juzi bungeni spika anayejiita kuwa ni spika wa viwango, aliwaambia wajumbe wa bunge kuwa ataawaalika watu watatu muhimu sana waliobaki wanaoufahamu muungano, baadaye imekuja kugundulika kuwa watu hawa si wengine bali ni makada wazoefu wa zamani wa ccm omari mapuri, kavishe na brigedia ngwilizi hawa wamewahi kuwa manaibu katibu wa ccm!
nataka kumuuliza sita kuwa ili uwe mweledi wa muungano ni lazima utoke ccm? ni lazima uwe katibu au naibu katibu wa ccm wa zamani ndo uwe na weledi tosha wa kuweza kuzungumzia muungano?
kuna watu kama proesa shivji amenadika sana kuhusu muungano na pengine kufanya tafiti nyingi lakini kwa viwango vya sita haujui muungano! Aboud jumbe Rais wa zamani wa zanzibar, jaji bomani, na wengine wengi kwa viwango vya sita hawaujui muungano.
ni vema mheshimiwa sita akafahamu kuwa huu si wakati tena wa bla bla, watanzania milioni 45 wanaufahamu sana muungano, hawahitaji ngonjera za akina mapuri, au kawishe au ngwilizi, bali wanataka watafiti wa kina kama akina shivji, jaji bomani, na wengine wasio egemea maslahi ya vyama kuwapa nuru zaidi na wala si hotuba ndefu
nataka kumuuliza sita kuwa ili uwe mweledi wa muungano ni lazima utoke ccm? ni lazima uwe katibu au naibu katibu wa ccm wa zamani ndo uwe na weledi tosha wa kuweza kuzungumzia muungano?
kuna watu kama proesa shivji amenadika sana kuhusu muungano na pengine kufanya tafiti nyingi lakini kwa viwango vya sita haujui muungano! Aboud jumbe Rais wa zamani wa zanzibar, jaji bomani, na wengine wengi kwa viwango vya sita hawaujui muungano.
ni vema mheshimiwa sita akafahamu kuwa huu si wakati tena wa bla bla, watanzania milioni 45 wanaufahamu sana muungano, hawahitaji ngonjera za akina mapuri, au kawishe au ngwilizi, bali wanataka watafiti wa kina kama akina shivji, jaji bomani, na wengine wasio egemea maslahi ya vyama kuwapa nuru zaidi na wala si hotuba ndefu