Omba omba kwenye miji na vijiji

Omba omba kwenye miji na vijiji

briophyta plantae

Senior Member
Joined
Feb 18, 2017
Posts
117
Reaction score
132
Sasa hv kumekuwa na ongezeko kubwa sana la omba omba mijini na hata kwenye baadhi ya vijiji,cha ajabu sasa hv ni kama wana mfumo fulani ambao ni rasmi.
Kwanza maeneo wanayopendeleea kuomba yanafanana na hata wakati mwingine wanakuwa wengi sehemu moja,mfano ni kwenye taa za kuongoza magari na masoko na kinachosikitisha zaidi ni pale ambapo hawa walemavu wakiwa katika baskeli zao wanaendeshwa na watu ambao ki uhalisia hawana changamoto yoyote na wanauwezo wa kufanya kazi yoyote katika uzalishaji na kuwasaidia hao wanaowasaidia na ukichunguza tena zaidi utagundua hata undugu na hawa walemavu hawana,sasa hapo inaleta ukakasi hata katika kutaka kuwasaidia,na ni kila iitwapo leo wapo barabarani wakigombaniana kuomba kwenye magari ya watu katika foleni na masokoni.au hii nayo sasa imekuwa biashara kama biashara nyingine?
Serikali inaliangalia kwa jicho gani hili swala? maana hawa watu ni taswira ya jamii tuliyonayo pia
 
siwezi changia sana kuhusu swala hili lakini katika hali ya kawaida sio rahisi sana kukuta mtu ana akili timamu na hana ulemavu wowote halafu anaomba omba

kikubwa kama unacho chochote chakumpa mpe kama huna just skip tu kwani sio lazima
 
siwezi changia kuwa sana kuhusu swala hili lakini katika hali ya kawaida sio rahisi sana kukuta mtu ana akili timamu anaomba omba

kikubwa kama unacho chochote chakumpa mpe kama huna just skip tu kwani sio lazima
Kuna mmoja aliomba pesa ya chakula ,nikataka kumpeleka akale mgahawani akagoma yeye anataka pesa tu🤔
 
Sasa hv kumekuwa na ongezeko kubwa sana la omba omba mijini na hata kwenye baadhi ya vijiji,cha ajabu sasa hv ni kama wana mfumi fulani ambao ni rasmi.
Kwanza maendeo wanayopendekea kuomba yanafanana na hata wakati mwingine wanakuwa wengi sehemu moja,mfano ni kwenye taa za kuongoza magari na masoko na kinachosikitisha zaidi ni pale ambapo hawa walemavu wakiwa katika baskeli zao wanaendeshwa na watu ambao ki uhalisia hawana changamoto yoyote na wanauwezo wa kufanya kazi yoyote katika uzalishaji na kuwasaidia hao wanaowasaidia na ukichunguza tena zaidi utagundua hata undugu na hawa walemavu hawana,sasa hapo inaleta ukakasi hata katika kutaka kuwasaidia,na ni kila iitwapo leo wapo barabarani wakigombaniana kuomba kwenye magari ya watu katika foleni na masokoni.au hii nayo sasa imekuwa biashara kama biashara nyingine?
Serekali inaliangalia kwa jicho gani hili swala? maana hawa watu ni taswira ya jamii tuliyonayo pia
Mfumi❎
Mfumo✅
Serekali❎
Serikali ✅
 
siwezi changia kuwa sana kuhusu swala hili lakini katika hali ya kawaida sio rahisi sana kukuta mtu ana akili timamu anaomba omba

kikubwa kama unacho chochote chakumpa mpe kama huna just skip tu kwani sio lazima
[/QUOTE
siwezi changia kuwa sana kuhusu swala hili lakini katika hali ya kawaida sio rahisi sana kukuta mtu ana akili timamu anaomba omba

kikubwa kama unacho chochote chakumpa mpe kama huna just skip tu kwani sio lazima
Kwahiyo hawa huwa hawana akili timamu,na kama ni hvyo wanahitaji kusaidika namna gani kama hicho ndio chanzo cha matatizo yao. Kisaidia mtu sio kumpa kitu ili arudi baadae na kesho
 
Back
Top Bottom