Namtaarifu Komredi Yusufu Makamba, kuwa yule kiboko yake 'MATONYA' amefariki usiku wa kuamkia leo kijijini kwakwe Mpamantwa wilaya ya Bahi, mazishi yatafanyika leo saa 10 jioni kijijini hapo.
Habari ziwafikie, Mkuu wa Wilaya Betty Mkwasa, Familia ya Mzee Makamba popote walipo, wakazi wa Dar na Moro pamoja na ndugu jamaa na marafiki wote. Bila ya kusahau wale wa eneo la Darajani Mjini Morogoro Hebal Chidawal Mwandishi wa habari Dodoma
Pumzika kwa amani Comrade Matonya, you were a symbol of the forgottens in our society nobody was born to be poor. We are required to apply the golden rule to everyone. Mungu akulaze mahali panapokustahili.
Pumzika kwa amani Comrade Matonya, you were a symbol of the forgottens in our society nobody was born to be poor. We are required to apply the golden rule to everyone. Mungu akulaze mahali panapokustahili.