Ombi: kufahamu zaidi taratibu za kusajili bidhaa

Ombi: kufahamu zaidi taratibu za kusajili bidhaa

Kasilibiti

Member
Joined
Jun 6, 2015
Posts
26
Reaction score
4
Ndg wana janvi........
Serikali ina sera ya kuongeza kipato cha wananchi hapa nchini. Napenda kufahamu taratibu za kusajiri bidhaa km vinywaji huko idara ya Chakula ili viweze kuwa packed. Itasaidia kuongeza viwanda na ajira nchini.

Msaada wa uelewa na taratibu za kufuata hadi kuonana na wataalamu wa vipimo vya vyakula utanisaidia kutoka hapa nilipo.
 
Ni vizur uende mwenyewe kwenye mamlaka husika. Kwa case ya Chakula na vinywaji nenda tfda na tbs
 
Back
Top Bottom