Ombi: Kutembelea mjasiriamali yeyote anayefuga kuku kwa Dar

Ombi: Kutembelea mjasiriamali yeyote anayefuga kuku kwa Dar

Bw.Daffa

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
420
Reaction score
116
Heshima zenu wakuu,

Naomba kumtembelea Mjasiliamali yeyote anaefuga kuku kwa Hapa Dar, Kikubwa ni kupata uzoefu kidogo hasa kwenye mapangilio wa Banda na vitu vingine. Kwa yeyote alietayari naomba ajitokeze Nim Pm.
Nanguliza shukrani Wakuu.
 
Heshima zenu wakuu, Naomba kumtembelea Mjasiliamali yeyote anaefuga kuku kwa Hapa Dar, Kikubwa ni kupata uzoefu kidogo hasa kwenye mapangilio wa Banda na vitu vingine. Kwa yeyote alietayari naomba ajitokeze Nim Pm. Nanguliza shukrani Wakuu.
ukijaaliwa mwezi wa nane udhuria maadhimisho ya nane nane huko utajifunza ufugaji mpaka basi, nanenane ya Dodoma iko poa sana.
 
Hivi hii thread ina maana wajasiriamali wote (wafugaji) hawajaiona ama!!Maana ni muda mrefu sasa na nadhan mleta ombi hajafanikiwa kwenda kumtembelea mfugaji hata mmoja.
Inawezekana ikawa haya yafuatayo:
1. Hakuna wafugaji halisia hapa Jf zaidi ya kujisifia na maelezo ya kijasiliamali,kupost picha za mifugo na kuleta porojo nyingi za kiujasiliamali.
2. Kutojiamini kwa wafugaji, kama wapo lkn,pindi watakapotembelewa na kukuta utofauti wa uhalisia wa ufugaji na maelezo waliyoyatoa humu Jf.Watu hutoa picha za kuku,bata,mazao n.k inawezekana wana download na kuzipost hakuna kitu wanachokifanya.
3.Ubinafsi,kutotaka mwenzako nae afaidike kutokana na kufaham kiuhalisia njia za ufugaji wako
4.Imani potofu,huenda watu wakahisi kwamba utakapomtembelea na kuona mifugo yake mambo yanaweza kwenda mrama kama Wizi n.k

Kama yote hapo juu ni HAPANA kwanin sasa hakuna aliyejitokeza zaidi ya kumshaur asubir Maonyesho ya 88? muda wote wa kusubiri 88 wa nin wakat wafugaji wapo kibao hapa?Wengine wanauza kuku 100,wengine wana uwezo wa kusupply bata 50 hao wote wako wapi?
Hebu Tukubali ombi lake wajamen la huyu mwanachama tuache longolongo!!!
 
Karibu unitembelee, Mimi ni Mfugaji wa Kuku, nipo Dar, Pugu kajiungeni. 0654 946992
 
Mkuu Ibravo nashkuru kwa kurudisha uhai wa hii thread..Nashkuru kwa ujumbe ulioutoa pia..Ni mategemeo yangu kwamba Spirit ya kuanza kutembeleana miongoni mwa wajasiriamali itaongezeka.

Namshkuru pia mkuu Rati ambae nae aliniahidi kuwa atanialika mana kwa mda huo hakuepo Dar.

martinubwe pia nashkuru Ndg kwa Mwaliko wako na kwakua umeacha mawasiliano basi tutawasiriana.

Mungu atupe moyo wa kupendana na kusaidiana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom