GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
HakikaMuoshaji ameoshwa
Tulia dawa ingiie sindano itakatikaYaan JF ingeweka kipengele cha VN LEO MBONA KASHE SHE
Sisi wakazi wa bunju tunaomba utuwekee bango letu la matokeo ya mechi yetu kati ya Belouzdad na Yanga pale mlipoweka bango la mwanzo.
Pia msiwasahau na wale watu wa manzese pamoja na marudio ya mechi ya leo.
Asante sana
Ujimanue hivi Mwarabu anaachaje kuzama chumviniView attachment 2824039
Kumbe ndo walichoenda kukifanya hichi
Acha bhanaa.kumbe mapema tubangp lipo sarenda mida hiiView attachment 2824064
3 mzuka
Buku 5 zinapendeza zaidi kuliko buku 3 [emoji1787]bangp lipo sarenda mida hiiView attachment 2824064
Bado ya moto moto hii, maana hakukuwa na kadi 2 nyekundu wala penati 2 za Bebwabebwa (Mbeleko) SC [emoji1732][emoji38]3 mzuka
Kuweka mabango ni kazi ya watu waliopata matokeo mazuri tu , Sasa Ally kamwe atawekaje mabango wakati kapoteza ,Sisi wakazi wa bunju tunaomba utuwekee bango letu la matokeo ya mechi yetu kati ya Belouzdad na Yanga pale mlipoweka bango la mwanzo.
Pia msiwasahau na wale watu wa manzese pamoja na marudio ya mechi ya leo.
Asante sana
Ujimanue hivi Mwarabu anaachaje kuzama chumvini
Aweke atufundishe na sisi namna ya kufungwa bao3 huku ukiwa unaongoza ball possessionKuweka mabango ni kazi ya watu waliopata matokeo mazuri tu , Sasa Ally kamwe atawekaje mabango wakati kapoteza ,