Naunga mkono hoja.Kutokana na pira biriani kuku linalooneshwa na Mnyama pamoja na usajili wa viwango vya SGR,
Tunaomba uongozi wa Azam media uhamishie mechi zetu ktk channel ya ESPN1 au ESPN2
Kuendelea kurusha mechi zetu ktk channel za Azam Sports ambapo Uto a.k.a chura nae anarushwa humo humo ni kutoitendea haki timu yetu
Nawasilisha
Kwa akili yako, unadhani azamu ndio anaamua kuwa kipindi fulani hasa hizi local contents, zionyeshwe wapi?!!uwezo huo ni kwenye chaneli zake tu!!hizo nyingine hana uwezo huo!!yeye ananunua contents kama zilivyo tu!!kwa akili hizi kumbe ndio maana manara na yule bumburi/nugazi wana watia ujingaKutokana na pira biriani kuku linalooneshwa na Mnyama pamoja na usajili wa viwango vya SGR,
Tunaomba uongozi wa Azam media uhamishie mechi zetu ktk channel ya ESPN1 au ESPN2
Kuendelea kurusha mechi zetu ktk channel za Azam Sports ambapo Uto a.k.a chura nae anarushwa humo humo ni kutoitendea haki timu yetu
Nawasilisha
Bumbuli huyu aliyefungiwa miaka 3Kwa akili yako, unadhani azamu ndio anaamua kuwa kipindi fulani hasa hizi local contents, zionyeshwe wapi?!!uwezo huo ni kwenye chaneli zake tu!!hizo nyingine hana uwezo huo!!yeye ananunua contents kama zilivyo tu!!kwa akili hizi kumbe ndio maana manara na yule bumburi/nugazi wana watia ujinga
Huyo huyo?!!bongo raha sana!!huku yanga wanasema mbona hiyo faini ya milioni 5, ililipwa na pay slip ipo!!huko kwenye kamati pesa haijaonekana!!!Bumbuli huyu aliyefungiwa miaka 3
Viongozi wa tff wajiangalie sana, walioshika na wenye ushawishi kwenye hivi vilabu vikubwa viwili kwa sasa ni Vijana na wako smart SanaHuyo huyo?!!bongo raha sana!!huku yanga wanasema mbona hiyo faini ya milioni 5, ililipwa na pay slip ipo!!huko kwenye kamati pesa haijaonekana!!!
Kinachofanyika sasa hivi , kama wewe wakikuona ni tishio kwao, kukukomoa ni kukupiga ban tu!!wao wanataka wabaki na watu wao tu!!na sijui kwanini serikali huu uhuni hawauoni!!kuna uchaguzi wa chama cha soka mkoa wa mbeya, ulifanyika majuzi, ni aibuuu!!wanakuja kupigwa ban , watu ambao sio wahusika!!uniambie hapa kutakuja kuwa namaendeleo ya mpira?!!!Viongozi wa tff wajiangalie sana, walioshika na wenye ushawishi kwenye hivi vilabu vikubwa viwili kwa sasa ni Vijana na wako smart Sana
Senzo, Hersi, Barbara, Moo wote ni Vijana hamna mzee akilimali, tff wawe makn Sana
Hao Vijana wanajua sheria Jambo lolote wanapelekana mahakaman, sio Kama zaman tff akisema ishaisha hiyo
#Ngoja tuone
Kwa akili yako, unadhani azamu ndio anaamua kuwa kipindi fulani hasa hizi local contents, zionyeshwe wapi?!!uwezo huo ni kwenye chaneli zake tu!!hizo nyingine hana uwezo huo!!yeye ananunua contents kama zilivyo tu!!kwa akili hizi kumbe ndio maana manara na yule bumburi/nugazi wana watia ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] factKutokana na pira biriani kuku linalooneshwa na Mnyama pamoja na usajili wa viwango vya SGR,
Tunaomba uongozi wa Azam media uhamishie mechi zetu ktk channel ya ESPN1 au ESPN2
Kuendelea kurusha mechi zetu ktk channel za Azam Sports ambapo Uto a.k.a chura nae anarushwa humo humo ni kutoitendea haki timu yetu
Nawasilisha