Ombi Kwa Bwana Afya mkoa wa Dar Es Salaam

Ombi Kwa Bwana Afya mkoa wa Dar Es Salaam

itakiamo

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
893
Reaction score
1,739
Husika na kichwa tajwa hapo juu.

Nina ombi au ushauri wa kuongeza msisitizo Kwa watoa huduma (wauza juisi) za miwa watumie nailon maalumu (zinazovaliwa mikononi) ili kuepusha magonjwa yoyote yanayoweza kuambukizwa kupitia mikono isiyo salama.
Asante .
 
Back
Top Bottom