Dabyrapa mazereu hayo
Af chakoriii Jina la wap Hilo[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Af chakoriii Jina la wap Hilo
Mithun chakarabochiBombay
Magufuli ni tricky guy haeleweki kabisa kwa mfano hakuna mtu aliyemtegemea kumsupport ney all the sudden halikadhalika kumteua mkosoaji wake kitilya mkumbo. He is unpredictable.Tutegemee ya zaidi maana siunajua huyo mzee wa commands
Mithun chakarabochi
Nampleka darasan soonNaona mmeanza kuongea kindengereko [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Chakorapaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Shunirapa
Sakarapa
Asprapa
Anacheza na mind tu. Anajua hapa nikizidisha watu watacharuka hapa nikitoa hiki nitaendelea kuaminiwa hapa nikimute nitajiongezea creditsMagufuli ni tricky guy haeleweki kabisa kwa mfano hakuna mtu aliyemtegemea kumsupport ney all the sudden halikadhalika kumteua mkosoaji wake kitilya mkumbo. He is unpredictable.
Yeah he is smart i like it. Hutakiwi kuwa na formula kama cocacola.Anacheza na mind tu. Anajua hapa nikizidisha watu watacharuka hapa nikitoa hiki nitaendelea kuaminiwa hapa nikimute nitajiongezea credits
[emoji16][emoji16][emoji16] Ney mwenyewe anatetemeka. Alichopost juzi anaonyesha anauwoga saaanaJpm sio kuwa amefurahia hiyo nyimbo wa "wapo" lakini katika kutuliza mambo tu na kujionesha kuwa hana hasira mbele za watu ilibidi aseme ameifurahia ile nyimbo lakini moyo wake bado ni mweusi sana.Sema bhas tu
hana ila anajiamin kama ney hawana tofautiHivi ana any revolutionary track huyu jamaa ? Nimeskia za Diss tu