codes
JF-Expert Member
- Jan 13, 2015
- 344
- 514
Videkezo.
[1]Mpaka TTCL wamepandisha bei za mabundle kutoka 1.2GB /1000 Tshs mpaka 600MB/ 1000 Tshs. Makampuni binafsi yalipandisha kitambo.
[2]Inavyooneka, makampuni ya simu yanashirikiana kupandisha bei za ma-bundle kama madereva wa dala dala stand ya 7 7[Dodoma]. Wakishapandisha wote, unaenda wapi
Kutokana na mabadiliko ya science na technologia, SOCIAL MEDIA ndo chanzo kikubwa cha taarifa toka pande zote za dunia [Socia Media zinabeba TV,Radi0,magazeti]. Social media inahitaji internet [Ma-bundle], Internet ndo maisha kwa sasa. Kwenye internet tuna-material ya kujisomea vyuoni mashuleni, makazini[kuongeza ufanisi], tunapata hardwares zenye computational kubwa kama colabaratory.
Raisi mpendwa ulishawahi kuliongelea hili swala ya mbundle [Mobile internet services] kwamba ZISHUKE, [wakati Daktari wa binadamu alipoiongoza wizara ya mambo ya IT/ICT] lkn walishusha kwa muda kidogo , wengine hawakushusha kabisa, baada ya muda wakapandisha karudi pale pale. TTCL ndo wamekuwa wa mwisho[leo tare 19/10/2021] kurudi kwenye gharama ulizotaka zishuke[Hii inamaanisha makampuni ya simu yameikaidi].
Tunaomba mama yetu mpendwa uliangalie hili la kupanda kwa ma-bundle kwa mara nyingine ili usiwape watu faida ya maneno na kutusaidia watumiaji wa hali ya chini. Pongezi wa Serikali ku-implement mkongo wa taifa...., ulishusha gharama za internet .....ila sasa tunakoelekea internet inaenda kuwa anasa.
Ahsante.
Mwananchi.
I
[1]Mpaka TTCL wamepandisha bei za mabundle kutoka 1.2GB /1000 Tshs mpaka 600MB/ 1000 Tshs. Makampuni binafsi yalipandisha kitambo.
[2]Inavyooneka, makampuni ya simu yanashirikiana kupandisha bei za ma-bundle kama madereva wa dala dala stand ya 7 7[Dodoma]. Wakishapandisha wote, unaenda wapi
Kutokana na mabadiliko ya science na technologia, SOCIAL MEDIA ndo chanzo kikubwa cha taarifa toka pande zote za dunia [Socia Media zinabeba TV,Radi0,magazeti]. Social media inahitaji internet [Ma-bundle], Internet ndo maisha kwa sasa. Kwenye internet tuna-material ya kujisomea vyuoni mashuleni, makazini[kuongeza ufanisi], tunapata hardwares zenye computational kubwa kama colabaratory.
Raisi mpendwa ulishawahi kuliongelea hili swala ya mbundle [Mobile internet services] kwamba ZISHUKE, [wakati Daktari wa binadamu alipoiongoza wizara ya mambo ya IT/ICT] lkn walishusha kwa muda kidogo , wengine hawakushusha kabisa, baada ya muda wakapandisha karudi pale pale. TTCL ndo wamekuwa wa mwisho[leo tare 19/10/2021] kurudi kwenye gharama ulizotaka zishuke[Hii inamaanisha makampuni ya simu yameikaidi].
Tunaomba mama yetu mpendwa uliangalie hili la kupanda kwa ma-bundle kwa mara nyingine ili usiwape watu faida ya maneno na kutusaidia watumiaji wa hali ya chini. Pongezi wa Serikali ku-implement mkongo wa taifa...., ulishusha gharama za internet .....ila sasa tunakoelekea internet inaenda kuwa anasa.
Ahsante.
Mwananchi.
I