Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kutokana na tatizo la ajira kuwa kubwa tunashuhudia vijana wengi kujiingiza katika shughuli mbalimbali wengi wapo kwenye bodaboda na kundi kubwa pia limejiingiza kwenye udalali wa aina mbalimbali.
Kwa jinsi bodaboda wanavyotambuliwa kwa vyombo vyao tunaiomba serekali yetu iwatambue madalali wote hapa nchini hasa zoezi lianze kwa madalali wote wa mkoa wa dar es salaam, watambuliwe, kwa nida, wawe wamesajiliwa, wamelipia vitambulisho vyao ambavyo vitakuwa na namba maalumu ya utambulisho wake ambayo itakuwa searchable katika menyu za simu zetu.
Hili litakapofanyika litasaidia sana vitendo viovu kuondoka pia litasaidia usalama wa taifa letu kwani dalali atachunguza kwa makini mpangaji wake anayempeleka mahala ili matatizo yasijemrudia yeye kwa kupeleka mwovu mahala fulani, pia wateja wao watakuwa na amani.
N. B, watanzania wengi mno wanapigwa fedha zao na wanakosa pa kwenda, hasa madalali wa Viwanja N. K.
Watakapotambuliwa rasmi na kuwa na vibali maalumu hata nao watasaidika juu ya haki zao 5%.
Kwa jinsi bodaboda wanavyotambuliwa kwa vyombo vyao tunaiomba serekali yetu iwatambue madalali wote hapa nchini hasa zoezi lianze kwa madalali wote wa mkoa wa dar es salaam, watambuliwe, kwa nida, wawe wamesajiliwa, wamelipia vitambulisho vyao ambavyo vitakuwa na namba maalumu ya utambulisho wake ambayo itakuwa searchable katika menyu za simu zetu.
Hili litakapofanyika litasaidia sana vitendo viovu kuondoka pia litasaidia usalama wa taifa letu kwani dalali atachunguza kwa makini mpangaji wake anayempeleka mahala ili matatizo yasijemrudia yeye kwa kupeleka mwovu mahala fulani, pia wateja wao watakuwa na amani.
N. B, watanzania wengi mno wanapigwa fedha zao na wanakosa pa kwenda, hasa madalali wa Viwanja N. K.
Watakapotambuliwa rasmi na kuwa na vibali maalumu hata nao watasaidika juu ya haki zao 5%.