Standard Seven 2022
Member
- Jan 16, 2019
- 19
- 62
Nitangulize shukrani zangu za dhati kwa wale wote watakao pitia/pita katika uzi huu. Nawashukuru nyote/wote.
Ni matumaini yangu kuwa nyote/wote mko "buheri" wa afya na naendelea vyema "kupambana" kupata mkate wa siku, kwa walio wengi, nakupata mpake wa siku na ziada kwa wale wachache.
Mimi niko pia niko "buheri" wa afya, na zaidi, naendelea kupambana kupata mkate wa siku kama walivyo/ilivyo kwa walio wengi.
Kama kichwa cha uzi/bandinko hili linavyojielezea, ningependa kuwaomba sana ndugu zangu/zetu hasa wale wa upande wa pili, ikiwapendeza wawe wanatuletea taarifa ya moja kwa moja toka mahakamni, "live updates" kulingana na shauri linalomkabiri aliyekua mkuu wa wilaya, wa wilaya moja kati ya zile wilaya zinazopatikana mkoa wa Kilimanjaro.
Lengo/kiini cha ombi/maombi haya ni kuweza kusaidia/kuwezesha walio wengi humu jamvini kufahamu kila kinachoendelea katika shauri hilo, kama vile hawa wa upande huu wanvojitahidi kuleta jamvini kila kinachoendelea katika shauri liloko mahakamani likimuhisisha Mwenyekiti na wale waliokua "waajiriwa" makomandoo katika jeshi letu la Wananchi Tanzania.
Ninaamini kwa hawa wa "upande" wa pili kuleta taarifa za moja kwa moja toka chumba cha mahaka, sio tu kitatoa fursa kwa umma kupata taarifa sahihi kwa wakati, bali itakua ni fursa kwa walio wengi kufamu/kupata moja mbili "ABC" ama "shule"inayohusu/zinazohusu namna mahakama inavotafasiri/tafsiri sheria ili kutenda haki hasa katika mashuri yanayohusu jinai.
Ninawasilisha. Niwatakie nyote/Wote wakati mwema.
Ni matumaini yangu kuwa nyote/wote mko "buheri" wa afya na naendelea vyema "kupambana" kupata mkate wa siku, kwa walio wengi, nakupata mpake wa siku na ziada kwa wale wachache.
Mimi niko pia niko "buheri" wa afya, na zaidi, naendelea kupambana kupata mkate wa siku kama walivyo/ilivyo kwa walio wengi.
Kama kichwa cha uzi/bandinko hili linavyojielezea, ningependa kuwaomba sana ndugu zangu/zetu hasa wale wa upande wa pili, ikiwapendeza wawe wanatuletea taarifa ya moja kwa moja toka mahakamni, "live updates" kulingana na shauri linalomkabiri aliyekua mkuu wa wilaya, wa wilaya moja kati ya zile wilaya zinazopatikana mkoa wa Kilimanjaro.
Lengo/kiini cha ombi/maombi haya ni kuweza kusaidia/kuwezesha walio wengi humu jamvini kufahamu kila kinachoendelea katika shauri hilo, kama vile hawa wa upande huu wanvojitahidi kuleta jamvini kila kinachoendelea katika shauri liloko mahakamani likimuhisisha Mwenyekiti na wale waliokua "waajiriwa" makomandoo katika jeshi letu la Wananchi Tanzania.
Ninaamini kwa hawa wa "upande" wa pili kuleta taarifa za moja kwa moja toka chumba cha mahaka, sio tu kitatoa fursa kwa umma kupata taarifa sahihi kwa wakati, bali itakua ni fursa kwa walio wengi kufamu/kupata moja mbili "ABC" ama "shule"inayohusu/zinazohusu namna mahakama inavotafasiri/tafsiri sheria ili kutenda haki hasa katika mashuri yanayohusu jinai.
Ninawasilisha. Niwatakie nyote/Wote wakati mwema.