Ombi kwa wanao tafuta Mke/Mume

Ombi kwa wanao tafuta Mke/Mume

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Wakuu habari za kushinda, poleni na majukumu.
Leo nataka niwakumbushe wanao tafuta Mke au Mume humu ndani.
Wakisha pata basi kwenye nyuzi zao waseme kama washapata.
Siyo mtu amepata anae mtafta hata hatufahamu wadau tunaendelea kumtafuta ndo hivyo kumbe anamtu wake.
Kwa kuhitimisha, kama ukimpata mke au mume tujuze kua umempata tuendelee na mishemishe.
Asante kwa hilo tuepuke mikusanyiko.
 
Nazani watafuta wachumba watalifanyia kazi hili
 
Message sent and delivered
 
Back
Top Bottom