Ombi la Dharula : CAF ichunguze haraka vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Martyrs Kinshasa

Bangi mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fikra hasi na dalili za kuchanganyikiwa. TZ bado hatuna wachezaji na timu bora. Siku zote mpira wetu unachezwa na waandishi wa Habari magaazetini, kwenye maredio na TV. Ni aibu. Hatuna wachezaji walio consistency leo anabahatisha kucheza vizuri kwa nguvu za mungu na inapotokea hivyo anasifiwa sana lakini mechi ya kesho anaharibu huwezi amini. Na masifa yamewajaa. Jana ndiyo mwisho wa Simba tunawasubiri kwenye ligi jitahidini mje haraka au sivyo aibu ni yenu.
 
Facts
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mwenye ufahamu aelewe kwamba hawa vita ni finalists wa mwaka Jana. Sasa manara duuuu na waswahili wenzako wanashindwa kutumia akili kidogo ili nyingine wafanyie mambo mengine....duuu
 
Mimi hii taarifa nimeipata kwa mtu ambaye yuko Kinshasha nikajua uongo nimepuuzia ghafla naiona huku
 
Simba walihama hotel kwa kuhofia fitna wakasahau hawawezi kuhama uwanja!! Pale DRC ni machinjio ya timu ngeni kwa nafasi walizokosa wale Vita ni jambo la kumshukuru Mungu, fedhea ingeweza kuwa kubwa zaidi.
2nd half kocha alijitahidi kuwaambia wachezaji wetu kucheza pressing football kwa kuanzia na strikers lakini tatizo likabaki kwa beki za kati kupitika kirahisi kabisa.
Tumefundishwa kutumia vizuri mipira iliyokufa wale Vita mipira ya kona na faulo unaanza kuhesabu goli.
Muhimu tujipange kwa game za nyumbani ambapo wapinzani wengi wanakuja kutafuta sare
 
Sita mtungi ni zaidi ya kipigo cha mbwa koko!!!! Pole zenu simba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…