Tuache mizaha na utoto kwenye masuala serious kama hili. we unacoment pumba hapa alafu unajiita msomi? mwenzako kaomba nafasi ya kufanya field kwan huko aliko hajaona misitu hadi we umtajie? acha utoto bwana. Ndugu Frank hebu checki na hawa jamaa hapa chini. ni international NGO inayohusika na maswala ya misitu na mazingira. ofisi zao ziko Mikocheni nyuma ya Chuo cha Kairuki[h=4]
Laura George[/h]Communications Manager WWF Tanzania,
Dar es Salaam [COLOR=#00AFFD !important]