Ombi la kurejeshewa Internet

Kwa mfano akigoma kurudisha na haya ndiyo yawe maisha yetu mtafanyaje? Mna pa kwenda kushitaki?

Wacha wote tuonje utam wa katiba yetu..

Napendekeza mitandao ya kijamii iendelee kuminywa...!! TBC yenu ipo 24/7 mitandao mnaihitaji ya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…