feisar wa moro
JF-Expert Member
- Mar 17, 2020
- 365
- 858
Wakuu hili ni wazo langu kutokana na gharama za uzalishaji kuwa juu itafaa bei za vyakula na mazao mengine zipande ili kumsaidia mkulima..
Haya ni baadhi ya mabadiliko ya gharama za kilimo msimu huu ukilinganisha na msimu uliopita kwa hapa nilipo na hapa nazungumzia zao la mpunga
-Kukodi shamba ni laki 2 kutoka laki 1 msimu uliopita
-Kuandaashamba kwa ajili ya kupanda ni laki moja na 40 kutoka 80elf
-Kupanda ni laki moja na 20 kutoka 80elf
-Mfuko wa mbolea ya kukuzia 50kg ni laki moja na 70 kutoka 80elf
-Ya kuzalishia ni laki na 20 kutoka 60elf
-Gharama za palizi zimepanda mara mbili ya msimu uliopita
-Gharama za uvunaji,usafirishaji mazao imeongezeka mara tatu ya msimu uliopita
Kifupi ni kwamba gharama za kilimo zimeongezeka mara mbili ya misimu iliyopita SASA ILI MKULIMA APATE FAIDA NI LAZIMA BEI ZA VYAKULA ZIWE JUU
Haya ni baadhi ya mabadiliko ya gharama za kilimo msimu huu ukilinganisha na msimu uliopita kwa hapa nilipo na hapa nazungumzia zao la mpunga
-Kukodi shamba ni laki 2 kutoka laki 1 msimu uliopita
-Kuandaashamba kwa ajili ya kupanda ni laki moja na 40 kutoka 80elf
-Kupanda ni laki moja na 20 kutoka 80elf
-Mfuko wa mbolea ya kukuzia 50kg ni laki moja na 70 kutoka 80elf
-Ya kuzalishia ni laki na 20 kutoka 60elf
-Gharama za palizi zimepanda mara mbili ya msimu uliopita
-Gharama za uvunaji,usafirishaji mazao imeongezeka mara tatu ya msimu uliopita
Kifupi ni kwamba gharama za kilimo zimeongezeka mara mbili ya misimu iliyopita SASA ILI MKULIMA APATE FAIDA NI LAZIMA BEI ZA VYAKULA ZIWE JUU