Ombi langu Kwa serikali kuzuia majaribio yanayofanywa kwenye mwezi na jua

Ombi langu Kwa serikali kuzuia majaribio yanayofanywa kwenye mwezi na jua

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,437
Reaction score
2,043
Wadau nimekuwa nikifikiria sana kuhusu majaribio yanayofanywa kwenye jua na mwezi.
Hivi karibuni ndugu zetu India japo Wana matabaka makubwa sana ya matajiri na maskini lakini wameweza kufika kwenye mwezi Tena kwenye darkside of the moon ambako hakuna inchi umewahi fika.
Media hasa za uingereza wamekasirishwa sana kwasabu Kuna misaada wanatoa India na wao hawajawahi fika kwenye mwezi, wengine wamefikia Hatua ya kutaka pesa walizoipa India zirudishwe, ni chuki tu zidi ya advancement in technology.

Lakini turudi kwenye mada, majaribio yanayofanywa kwenye vitu muhimu kama jua na mwezi vipi endapo yakaathiri kabisa uwepo wa mwezi na jua ? Means tutakosa photosynthesis ili mazao ya stawi.

Project A119 ilifanywa na marekani ili tu kujaribu bomu la nyukria kwenye mwezi, vipi kama wangefanikiwa na mwezi tusingekuwa nao ? Manake usiku kungekuwa na giza.

Hivi sasa marekani kajaribu kufika kwenye jua na wanavyodai wameligusa jua, sasa vipi kama jua likaripuka au kuathiriwa?

Hivyo naiomba serikali itumie nafasi yake kuzuia majaribio wanayofanya Hawa watu kwenye vitu muhimu kama jua na mwezi, sio kwasabu hatujawa advanced in technology lakini jua au mwezi sio vya kwao, ni vyetu sote.

snipa
 

Attachments

  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    39.7 KB · Views: 5
CCM pale unaona nani ana akili timamu anaeweza kujadili mambo mazito ya namna hii? Wao waambie habari za goli la mama, mama mitano tena, mama katenda, serikali chini ya dokta samia suluhu assan ndio mambo yao
 
Wadau nimekuwa nikifikiria sana kuhusu majaribio yanayofanywa kwenye jua na mwezi.
Hivi karibuni ndugu zetu India japo Wana matabaka makubwa sana ya matajiri na maskini lakini wameweza kufika kwenye mwezi Tena kwenye darkside of the moon ambako hakuna inchi umewahi fika.
Media hasa za uingereza wamekasirishwa sana kwasabu Kuna misaada wanatoa India na wao hawajawahi fika kwenye mwezi, wengine wamefikia Hatua ya kutaka pesa walizoipa India zirudishwe, ni chuki tu zidi ya advancement in technology.

Lakini turudi kwenye mada, majaribio yanayofanywa kwenye vitu muhimu kama jua na mwezi vipi endapo yakaathiri kabisa uwepo wa mwezi na jua ? Means tutakosa photosynthesis ili mazao ya stawi.

Project A119 ilifanywa na marekani ili tu kujaribu bomu la nyukria kwenye mwezi, vipi kama wangefanikiwa na mwezi tusingekuwa nao ? Manake usiku kungekuwa na giza.

Hivi sasa marekani kajaribu kufika kwenye jua na wanavyodai wameligusa jua, sasa vipi kama jua likaripuka au kuathiriwa?

Hivyo naiomba serikali itumie nafasi yake kuzuia majaribio wanayofanya Hawa watu kwenye vitu muhimu kama jua na mwezi, sio kwasabu hatujawa advanced in technology lakini jua au mwezi sio vya kwao, ni vyetu sote.

snipa
Aisee
 
Mkuu hivi unafahamu Jua ni nini ? Ule sio mwanga tu bali ile Fusion inayotokea na nishati ya joto kuweza kufika mpaka huku just imagine unaisogelea....
 
"wanavyodai wameligusa jua,'
???????????

Ila mkuu una ufala Fulani ila haujaajua tu, nilitaka kukuambia nikaona nikaushe nikuambie kesho kutwa.
Ww ndio fala,kipi kinakufanya ushoboke hapo
 
Wadau nimekuwa nikifikiria sana kuhusu majaribio yanayofanywa kwenye jua na mwezi.
Hivi karibuni ndugu zetu India japo Wana matabaka makubwa sana ya matajiri na maskini lakini wameweza kufika kwenye mwezi Tena kwenye darkside of the moon ambako hakuna inchi umewahi fika.
Media hasa za uingereza wamekasirishwa sana kwasabu Kuna misaada wanatoa India na wao hawajawahi fika kwenye mwezi, wengine wamefikia Hatua ya kutaka pesa walizoipa India zirudishwe, ni chuki tu zidi ya advancement in technology.

Lakini turudi kwenye mada, majaribio yanayofanywa kwenye vitu muhimu kama jua na mwezi vipi endapo yakaathiri kabisa uwepo wa mwezi na jua ? Means tutakosa photosynthesis ili mazao ya stawi.

Project A119 ilifanywa na marekani ili tu kujaribu bomu la nyukria kwenye mwezi, vipi kama wangefanikiwa na mwezi tusingekuwa nao ? Manake usiku kungekuwa na giza.

Hivi sasa marekani kajaribu kufika kwenye jua na wanavyodai wameligusa jua, sasa vipi kama jua likaripuka au kuathiriwa?

Hivyo naiomba serikali itumie nafasi yake kuzuia majaribio wanayofanya Hawa watu kwenye vitu muhimu kama jua na mwezi, sio kwasabu hatujawa advanced in technology lakini jua au mwezi sio vya kwao, ni vyetu sote.

snipa
images.jpeg

Tuzuie kwanza vibao kama hivi kuwekwa kwenye barabara zetu na matundu ya choo kwenye shule zetu kabla ya kuwaza kuwazuia kufanya majaribio yao ya kwenye mwezi na jua
 
Haiwezekani kufika kwenye jua na hata kwenye mwezi huwa hawafiki ni janja janja tu za wazungu
 
Back
Top Bottom