Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Japo nitaoneka sijui kitu, ama nataka kuharibu vibarua vya watu, lakini angalau na mimi nitoe dukuduku langu.
Kwakweli TFF angalieni namna nyingine ya kuwatumia waamuzi wa kike, ama watumike kwenye mechi za wanawanake wenzao ama wawe washika vibendera wa pembeni (tena hapa upite mchujo) ila kuchezesha kama marefa wakati kwenye mechi za wanaume tena kwenye mechi yenye pressure kama ya jana mnakosea.
Sipo kumdharau mwanamke, hapana, lakini marefa wetu wakike wameonesha hawawezi kuhimili pressure ya michezo, sio jana tu, nimeona kwenye mechi nyingi tu.
Jana Refa alionyesha game kumshinda, kwangu nimemuhukumu kwa uwanawake wake sio chochote.
Japo huko Ulaya wanawake huwa wanachezesha mechi za wanaume, lakini sio kwenye game zenye pressure. Tena hata hizo mechi za kawaida sio kila mara kama huku kwetu.
NbB: Mchimbaji nae anamawazo, asidharauliwe.
Kwakweli TFF angalieni namna nyingine ya kuwatumia waamuzi wa kike, ama watumike kwenye mechi za wanawanake wenzao ama wawe washika vibendera wa pembeni (tena hapa upite mchujo) ila kuchezesha kama marefa wakati kwenye mechi za wanaume tena kwenye mechi yenye pressure kama ya jana mnakosea.
Sipo kumdharau mwanamke, hapana, lakini marefa wetu wakike wameonesha hawawezi kuhimili pressure ya michezo, sio jana tu, nimeona kwenye mechi nyingi tu.
Jana Refa alionyesha game kumshinda, kwangu nimemuhukumu kwa uwanawake wake sio chochote.
Japo huko Ulaya wanawake huwa wanachezesha mechi za wanaume, lakini sio kwenye game zenye pressure. Tena hata hizo mechi za kawaida sio kila mara kama huku kwetu.
NbB: Mchimbaji nae anamawazo, asidharauliwe.