Ombi letu kwa serikali kwa wazazi wenye watoto Ubungo NHC primary school

Ombi letu kwa serikali kwa wazazi wenye watoto Ubungo NHC primary school

sitaki hela

Member
Joined
Oct 10, 2022
Posts
93
Reaction score
117
Kama kichwa kinavyojieleza, Leo mwanangu amenipa taarifa kuwa shule yao,yaan Ubungo Nhc msingi inabadilishwa na kuwa mchepuo wa kingereza

Nikapata mshituko kidogo, ikabidi nifanye uchunguzi nikagundua ni kweli, nikajiuliza maswali mbona jambo kama Hilo sisi wazazi hatukushirikishwa?

Shule alikuwa anasoma jirani nayo ilibadilishwa ndio akahamia Ubungo NHC, si jambo la busara hata kidogo kuanza kutupa wakati mgumu Kwan sisi wengine, tuliipenda shule hiyo kutokana na ufundishaji mzuri, tunajua ni siasa, je Miundombinu imeandaliwa kwa ajili ya medium?

Tunaomba hilo wazo mlitafakari upya.
 
Kama kichwa kinavyojieleza,Leo mwanangu amenipa taarifa kuwa shule yao,yaan Ubungo Nhc msingi inabadilishwa na kuwa mchepuo wa kingereza

Nikapata mshituko kidogo,ikabidi nifanye uchunguzi nikagundua ni kweli, nikajiuliza maswali mbona jambo kama Hilo sisi wazazi hatukushirikishwa?

Shule alikuwa anasoma jirani nayo ilibadilishwa ndio akahamia ubungo Nhc,si jambo la busara hata kidogo kuanza kutupa wakati mgumu Kwan sisi wengine,tuliipenda shule hiyo kutokana na ufundishaji nzur,tunajua ni siasa,je miundo mbinu imeandaliwa Kwa ajili ya medium?

Tunaomba Hilo wazo mlitafakari upya.
Yaani hapo kuna shida gani?
 
Kama kichwa kinavyojieleza, Leo mwanangu amenipa taarifa kuwa shule yao,yaan Ubungo Nhc msingi inabadilishwa na kuwa mchepuo wa kingereza

Nikapata mshituko kidogo, ikabidi nifanye uchunguzi nikagundua ni kweli, nikajiuliza maswali mbona jambo kama Hilo sisi wazazi hatukushirikishwa?

Shule alikuwa anasoma jirani nayo ilibadilishwa ndio akahamia Ubungo NHC, si jambo la busara hata kidogo kuanza kutupa wakati mgumu Kwan sisi wengine, tuliipenda shule hiyo kutokana na ufundishaji mzuri, tunajua ni siasa, je Miundombinu imeandaliwa kwa ajili ya medium?

Tunaomba hilo wazo mlitafakari upya.
wewe una mtoto anasoma ubungo nhc primary ina maana huna namba ya mwalimu hata mmoja ufahamu taarifa hizi kutoka kwao shule km ni za kweli?? kabla ya kuleta jambo hili hapa kuna vile ulipaswa kufanya..wazazi km wewe si wa msaada kwa familia yako na taifa kwa ujumla, kwanza hata tu kuonyesha kuthamini kazi wanayofanya walimu kuelimisha mwanao umeshindwa..unakimbilia kuwalaumu bila hata kupata ukweli wa jambo lenyewe!
 
Hivi hii nchi mliligwa

Sio wanasiasa sio wasomi sio wazazi

Hivi inawezekanaje nchi lugha zaa kusomea ziwe mbili??

Yaani kiswahili na kingereza hii kitu uwa naichukia Sana

Tanzania ni Taifa la kiwendawazimu halafu Viongozi wapo tu wanakenua kenua meno

Pumbavu Sana !!!
 
Mimi pia sio mdau wala muumini wa lugha ya malkia,Wala Hakuna sababu ya kutumiwa lugha hiyo,ni inferiority complex TU ndio inatusumbua na kutufanya kuamini kuwa hatuwezi fanya chochote kile bila kuijua lugha ya colonial master,sisemi kuwa hatupaswi kuijua,la,ila hatupaswi kuijua kabisa,anetaka hiyo atafute mwenyewe,au kama ni Kwa ajili ya project Fulani TU yenye manufaq Kwa umma.
 
Back
Top Bottom