Ombi maalum: Rais Magufuli naomba ifute Taifa Stars na TFF

Ombi maalum: Rais Magufuli naomba ifute Taifa Stars na TFF

kzba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,355
Reaction score
789
Hii aibu hii,Team haibebeki.Kila siku hatuna furaha.
Ukiangalia mechi za hii team kila siku roho juu.Haifai hata kwa kulumagia hii team.
Nakuomba chondechonde ifute tu hii team isije ikaha kukutia doa kwenye uongozi wako maana yule mwenzio walimwambia ana gundu.
Mpaka 2025 ndio tuanze tena moja kuliko kuwa na hii aibu.
 
Afadhali sasa tupumzike mana yale makelele sijui kamati ya ushindi sijui uhamasishaji yatapungua sahv washashiba zao kama kawaida na timu inazidi kutia haya
 
Yan ningekuwa mimi ndo cjui samata cjui nani nisingekubali kucheza hii team ni kutiana aibu na kuaribiana future maana unaweza ukaoneka hujui kumbe ni team yenyewe ni bora tu kuangalia bonanza la wazee wa bandari na kitambi noma
 
Naangalia bein sport hapa waarabu wanatuita sisi maajinuni
 
Katika team nisiyo ipenda ya kwanza Taifa Stars!
 
Tanzania kila kitu siasa.Na hii ni ishara nzuri kwetu maana timu kubwa hubebwa kwa hongo.Hivyo matokeo ya rushwa ndiyo hayo.
 
ujerumani iliichapa timu kubwa duniani magoli 7 ilifutwa ile timu?
 
Tanzania kila kitu siasa.Na hii ni ishara nzuri kwetu maana timu kubwa hubebwa kwa hongo.Hivyo matokeo ya rushwa ndiyo hayo.

Hilo unalosema ni kweli hayo ndio matokeo ya ligi yetu inayoongozwa kisanii,pia uwezo wa Kocha ni mdogo tunaendekeza ushabiki tu
 
Kamati ya Ushindi ilijua kushinda haiwezekani ndo maana wakaahidi Million 300 wakishinda!! Maandalizi million 50 halafu unawaahidi wakishinda Million 300!! Kama vipi Magufuli afanye Ziara ya kustukiza TFF
 
CCM stars hiyo. Kwani kama ingeshinda Leo ungesikia hapakazi tuu na sifa kedekede kuwa hizo ni Sera safi za chama. Ikifungwa inakuwa ya Taifa, hatuitki hiyo ni yao tui
 
Nilipoteza matumaini pale iliposawazishiwa 2 - 2 ndani ya muda mfupi
 
Aibu ni yetu watanzania. Kabla ya mechi utasikia "vijana wako fit" ila baada ya kichapo, hii nayo "vijana walijitahidi lakini kikwazo hali ya hewa" au "uwanja ulikuwa na mashimo". Sababu za kiccm za kutuibia kura ndo wanaleta tff, tumechoka aibu.
 
Hii aibu hii
Team haibebeki
Kila siku hatuna furaha
Ukiangalia mechi za hii team kila siku roho juu
Haifai hata kwa kulumagia hii team
Nakuomba chondechonde ifute tu hii team isije ikaha kukutia doa kwenye uongozi wako maana yule mwenzio walimwambia ana gundu.
Mpaka 2025 ndo tuanze tena moja kuliko kuwa na hii aibu yan bora hata shilole.

Imposible
 
Stars Selemaaaa...
Stars selemaaa.....

Arejaaaaaaa....7777777
 
Back
Top Bottom