Ombi:Polisi wapewe smart phone ili kupambana na uhalifu wa mtandao,mh.waziri Kangi Lugola upo!

Ombi:Polisi wapewe smart phone ili kupambana na uhalifu wa mtandao,mh.waziri Kangi Lugola upo!

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Bahati ilioje waziri was mambo ya ndani mh.Kangi Lugola aliwahi kuwa afisa was ngazi za juu wa polisi atakuwa analijua hili.

Polisi wengi wanatumia simu za tochi sasa watazuiaje makosa ya kimtandao wawezeshwe.

Taasisi nyingi za serikali na makumpuni binafsi hutoa simu aina ya smart phone kwa watumishi wao kama idara ya maji,kiwanda cha via tbl-Mwanza na kadhalika,sasa iweje taasisi Muhimu kama polisi wasiwezeshwe?hii ikiwemo nw na vifurushi vya internet vya kila mwezi au posho,

Maana wahalifu utumia mitandao kufanikisha bishara kama madawa ya kulevya(drug dealers),usafirishaji wa watu(human traffic),udukuzi wa simu za viongozi,kushambulia mifumo ya komputer ya nchi,ikiwemo mipango ya mauaji kama ilivyotokea kwa bilionea Msuya japo polisi walibaini wanahitaji tuzo mbinu ilikuwa ya kimataifa iliyotumiwa na majambazi kwa mujibu ya mitandao ya kijamii-sijui kiundani.

Mh waziri Kangi Lugola unguruma tunakuamini sana na kwakuwa hulali naamini Uzi huu utausoma

Nimewahi kukaa na polisi nikiwa kazini na kupiga nao story,aisee wana upeo mkubwa sana

Istagram: kaukwaju
 
Bahati ilioje waziri was mambo ya ndani mh.Kangi Lugola aliwahi kuwa afisa was ngazi za juu wa polisi atakuwa analijua hili.

Polisi wengi wanatumia simu za tochi sasa watazuiaje makosa ya kimtandao wawezeshwe.

Taasisi nyingi za serikali na makumpuni binafsi hutoa simu aina ya smart phone kwa watumishi wao kama idara ya maji,kiwanda cha via tbl-Mwanza na kadhalika,sasa iweje taasisi Muhimu kama polisi wasiwezeshwe?hii ikiwemo nw na vifurushi vya internet vya kila mwezi au posho,

Maana wahalifu utumia mitandao kufanikisha bishara kama madawa ya kulevya(drug dealers),usafirishaji wa watu(human traffic),ikiwemo mipngo ya mauaji kama ilivyotokea kwa bilionea Msuya japo polisi walibaini wanahitaji tuzo mbinu ilikuwa ya kimataifa iliyotumiwa na majambazi kwa mujibu ya mitandao ya kijamii-sijui kiundani.

Mh waziri Kangi Lugola unguruma tunakuamini sana na kwakuwa hulali naamini Uzi huu utausoma

Nimewahi kukaa na polisi nikiwa kazini na kupiga nao story,aisee wana upeo mkubwa sana

Istagram: kaukwaju
Kama ulikua hujui. Wanazo ila sio wote, za ofisi ukiondoka unaiacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom