christopher mlewa
Member
- Oct 22, 2018
- 15
- 39
Lete na kapicha.Naomba nijikite moja kwa moja kwenye swala langu, ndugu wana jamvi naombeni mnikaribishe jamvini, nimekua mfatiliaji mkubwa sana wa JF.
ila leo ndo imekua ck yangu ya kwanz kupost, Mungu awape nguvu ya kunikaribisha.
asante mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.