Ombi rasmi la kukaribishwa JF

Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Naomba nijikite moja kwa moja kwenye swala langu, ndugu wana jamvi naombeni mnikaribishe jamvini, nimekua mfatiliaji mkubwa sana wa JF.

ila leo ndo imekua ck yangu ya kwanz kupost, Mungu awape nguvu ya kunikaribisha.
Lete na kapicha.
 
Lete kapicha ndugu mgeni, ili tujue tunayemkaribisha.
Pia hakikisha unamalizia kuandika maneno vizuri.
 
Yaani humu ubishe hodi usibishe hakuna wa kukuzuia usiingie labda Melo na vijana wake wenyewe wanajiita mods.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…