OMBI: Serikali ingilia kati biashara 'mpya' ya Forex

HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAH

Umechelewaaaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
KEYNEZ UMEKUWA MKWELI KWA KIAS KIKUBWA NA NDICHO TUMA WASIHI MISUKULE WENGINE WAJITOKEZE ILI JAMBO LIWEZE KUPATA MWELEKEO MWEMA.

MIMI NARUDIA TENA KUSEMA HOJA HAPA NI UJAMBAZI UNAOFANYWA NA GENGE LA TMT NA SIO FOREX. PIA FOREX KUWA BIASHARA HAIHALARISHI WIZI NA UDANGANHIFU UNAOFANYWA NA GENGE LA TMT.

KUNA WATU WANAJARIBU KUPOTOSHA KWELI HII KWA NIA YA MAKUSUDI KUTUTOA KTK LENGO..TMT NI GENGE LINALOTUMIA UMASKINI WA VIJANA WAKITANZANIA KUWARUBUNI NA HIVO KUWAGEUZA VITEGA UCHUMI WAO.

WAPAMBE WA HUYO SKUNK WAMEKOSA HOJA NA HIVYO KUKIMBILIA KUSEMA CHUKI, WIVU AU MASLAHI BINAFSI..HIZI NI HOJA DHAIFU SANA ZA WATU WALIOKOSA MWELEKEO.

TMT IS A SKUNK OF JF
 
Nakupa Big up sana Mkuu kwa huu uzi. Upo smart Upstairs. Japo najua kwa vile wabongo hatupendi kitu kinaitwa Regulations, Basi watauchukulia huu ushauri wako negative.
 
Dah, baada ya kupost nilijipiga kifua nikidhani nimeelezea kwa ufasaha kumbe na deal na manazi wasiotaka kusikia hili wala lile. Naanza kupata mashaka hata ambayo sikuwa nayo hapo kabla. Wengine ni wazi hawajasoma nilichoandika wakakimbilia kucomment. Kama wewe ni mvivu wa kusoma, Forex utaiweza kweli? Kama hauko tayari kusoma post yangu kwa kuwa ni NDEFU SANA, iache haiendi popote (labda mods wafanye yao), ukipata nafasi, irudie uisome vizuri. Baadhi ya watu mnakuwa kama mnakimbizwa bwana.
 
Mmeshindwa kupambana na hali zenu mmeamua kupambana na wengine!

Hakika Trump hakukosea kuita nchi za Afrika kuwa ni mashimo ya choo
 
Wapenda slope,urahisi,mterezo lazima mtapigwa tu

Ova
 
Kwanini Watu hawaji Na ushahidi wanabakia tu kusema next week/Kesho nk.


Kuwa mvumilivu, hivi vitu viko technical sana hata ukijua kabisa umeibiwa ni ngumu sana kuprove. Mimi najua nitacheza naye vipi.
 
Thanks mkuu kwa maelezo na ushauri bomba
 
DSE naona na wenyewe ni matapeli tu. Days are numbered.
 
Sioni shida yeyote,,,hii ndio maana ya biashara,it ain't charity,,hebu,jaribu kufikiri uende kwa kiwanda kimoja cha Mo au Bskhressa na uulize wafanyakazi changamoto zao,utaogopa...
 
FOREX FOREX Inaenda kuwa kufuri LA SOLEX [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pendekezo la tatu. Tusukume tuwe na home-grown Forex brokers. Tayari kuna stock brokers, ni suala la kuwapa incentives mbalimbali hao hao ili watoe huduma ya online forex trading (ambayo by extension pia mtu utaweza kutrade online hata hisa zilizopo kwenye Dar es Salaam Stock Exchange). Sasa hivi kijana wa kitanzania aliye Tandale ni rahisi kununua hisa za facebook na McDonalds kuliko za CRDB au TBL. Hili ni la kuangalia haraka.

Nadhani hili ni la muhimu zaidi kufanyiwa kazi na mamlaka alizotaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…