Habari zenu ndg zangu,
Ndugu zangu naomba ufafanuzi au ufahamu na ufafanuzi juu ya hali anayopitia mdogo wangu, mdogo wangu kafuata TRANSCRIPT yake ofisi za NACTE DAR tarehe 29/05/2024 akajibiwa arudi baada ya may-mosi yaani tarehe 02/05/2024 na akarudi tarehe hzo lakini alijibiwa MTANDAO UPO CHINI RUDI KESHO, sasa kila siku anaenda ofisini kwao na majivu yamekuwa ni MTANDAO UPO CHINI hadi leo hii.
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua kama ni kweli siku 7, week nzima mtandao upo chini au kuna mazingira mengine na si mtandao.
Zaidi mdogo wangu huyu masafiri kutoka mkoani na kafikia LODGE sasa ni week mbili yupo Dar hadi amefikia hali ya kukata tamaa.
Mdogo wangu huyu kapata sehem kama ajira baada ya kufaulu INTERVIEW yake lakini kikwazo kinataka kuwa ni hii TRANSCRIPT kumbuka kajiajiri mala baada ya chuo miaka toka miaka 4 nyuma. Katumia hadi mtaji wake wote kwa matumizi ya LODGE na chakula hadi kufikia hatua naanza kumtumia vipesa kughalamia japo hakuna matumaini maana kila akienda jibu ni MTANDAO UPO CHINI.
Swali najalibu kuwaza hivi kweli ofisi ya NACTE DAR week nzima hakuna mtandao au ni mazingira fulani yanaandaliwa hapa yasiyo rafiki na si mtandao.
Naomba wadau, kiongozi au vyombo vinavyoweza kutatua hali hii kumsaidia huyu mdogo wangu na wenzie waliopo ofisi hizo kipindi hiki juu ya jibu hili la MTANDAO UPO CHINI na kuzingatia upatikanaji wa hitaji lao.
Vijana tunapambana sana hivyo ifikiapo kijana kahitajika mahala kwa taaluma yake tusaidiane kuwakamilishia mahitaji yao maana itakatisha tamaa vijana na kujikuta wanaangukia njia zisizofaa kwa uzembe wa wachache.
MUNGU IBARIKI JF NA WATU WAKE.
Ndugu zangu naomba ufafanuzi au ufahamu na ufafanuzi juu ya hali anayopitia mdogo wangu, mdogo wangu kafuata TRANSCRIPT yake ofisi za NACTE DAR tarehe 29/05/2024 akajibiwa arudi baada ya may-mosi yaani tarehe 02/05/2024 na akarudi tarehe hzo lakini alijibiwa MTANDAO UPO CHINI RUDI KESHO, sasa kila siku anaenda ofisini kwao na majivu yamekuwa ni MTANDAO UPO CHINI hadi leo hii.
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua kama ni kweli siku 7, week nzima mtandao upo chini au kuna mazingira mengine na si mtandao.
Zaidi mdogo wangu huyu masafiri kutoka mkoani na kafikia LODGE sasa ni week mbili yupo Dar hadi amefikia hali ya kukata tamaa.
Mdogo wangu huyu kapata sehem kama ajira baada ya kufaulu INTERVIEW yake lakini kikwazo kinataka kuwa ni hii TRANSCRIPT kumbuka kajiajiri mala baada ya chuo miaka toka miaka 4 nyuma. Katumia hadi mtaji wake wote kwa matumizi ya LODGE na chakula hadi kufikia hatua naanza kumtumia vipesa kughalamia japo hakuna matumaini maana kila akienda jibu ni MTANDAO UPO CHINI.
Swali najalibu kuwaza hivi kweli ofisi ya NACTE DAR week nzima hakuna mtandao au ni mazingira fulani yanaandaliwa hapa yasiyo rafiki na si mtandao.
Naomba wadau, kiongozi au vyombo vinavyoweza kutatua hali hii kumsaidia huyu mdogo wangu na wenzie waliopo ofisi hizo kipindi hiki juu ya jibu hili la MTANDAO UPO CHINI na kuzingatia upatikanaji wa hitaji lao.
Vijana tunapambana sana hivyo ifikiapo kijana kahitajika mahala kwa taaluma yake tusaidiane kuwakamilishia mahitaji yao maana itakatisha tamaa vijana na kujikuta wanaangukia njia zisizofaa kwa uzembe wa wachache.
MUNGU IBARIKI JF NA WATU WAKE.