Tetesi: Ombi,Wapendwa mlio kwenye nchi zenye rursa za ajira tuitaneni jamani

Hajto

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
5,646
Reaction score
5,606
Habari zenu wana jf,nilikuwa ninaomba kwa wale walio katika nchi za wenzetu na huko walipo kuna fursa za kazi kwa fani yangu ya Umeme nilikuwa naomba anifanyie mpango wa huko alipo,kwani hali ya huku bongo inazidi kuwa mbaya kweli,aliye tayari ani-pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…