Ombi;wasomi wawe wanalipiwa 50% waitwapo interview na waajili ikiwa ni gharama ya usafiri na malazi...

Ombi;wasomi wawe wanalipiwa 50% waitwapo interview na waajili ikiwa ni gharama ya usafiri na malazi...

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Inaumiza sana wazazi,walezi na wafadhiri kugharamikia nauli na malazi pindi MTU aitwapo interview inapaswa makampuni na taasisi za serikali zijipange pindi zinapotaka kuajili na sio kuzirudisha gharama hizo kwa wachache wanaopata ajira.

Japo kunaweza kuwa na changamoto ya kuita wasomi walio karibu karibu tunaamini serikali litadhibiti kwa kuweka idadi kamili ya wanaopaswa kuitwa na sio kuita watu wawili tu kukwepa gharama hizo.

Ningekuwa mwanasheria na wakili kama Fatuma Karume au Msemwa ningewashtaki taasisi za zamani za serikali PPF na LAPF chini ya ndugu Eliud Sanga kwa kuniita interview awamu mbili kwa tangazo la ajira hilo hilomoja na kumtia hasara mzazi ya shilingi milioni mbili kama gharama ya safari,chakula na malazi na kuulizwa habari za Rwanda kwenye mtihani,zsaidie nini.

Pia si busara kuita wale GPA kubwa tu maana a asomi wengine hawakuwa ktk mood nzuri nyakati za Mitihani ila ktk interview wanaweza Fanya vizuri hata mh.rais aliwahi sema anaweza ajili hata msomi wa darasa LA saba kikubwa afanye kazi kama mh.Msukuma(mb),mh.Antony Mavunde tunaomba uungurume juu ya hili ulibadili.
 

Attachments

  • IMG-20180825-WA0004.jpg
    IMG-20180825-WA0004.jpg
    19.2 KB · Views: 27
  • IMG-20180825-WA0003.jpg
    IMG-20180825-WA0003.jpg
    18.5 KB · Views: 28
Umesema vizuri mkuu; watu waitwe Kwenye interview baadae ya kufanya vetting ya kutosha. Sio mnaitwa 1000 wanahitajka wawili...na pia wakiita wachache wanaweza wakawarefund nauli na gharama kdgo za malazi
 
Yani uweze kujigharamia masomo halaf ushindwe gharama za kwenda kwny interview?!

Umesikia wapi duniani kuna sheria hiyo?
 
Inaumiza sana wazazi,walezi na wafadhiri kugharamikia nauli na malazi pindi MTU aitwapo interview inapaswa makampuni na taasisi za serikali zijipange pindi zinapotaka kuajili na sio kuzirudisha gharama hizo kwa wachache wanaopata ajira.

Japo kunaweza kuwa na changamoto ya kuita wasomi walio karibu karibu tunaamini serikali litadhibiti kwa kuweka idadi kamili ya wanaopaswa kuitwa na sio kuita watu wawili tu kukwepa gharama hizo.

Ningekuwa mwanasheria na wakili kama Fatuma Karume au Msemwa ningewashtaki taasisi za zamani za serikali PPF na LAPF chini ya ndugu Eliud Sanga kwa kuniita interview awamu mbili kwa tangazo la ajira hilo hilomoja na kumtia hasara mzazi ya shilingi milioni mbili kama gharama ya safari,chakula na malazi na kuulizwa habari za Rwanda kwenye mtihani,zsaidie nini.

Pia si busara kuita wale GPA kubwa tu maana a asomi wengine hawakuwa ktk mood nzuri nyakati za Mitihani ila ktk interview wanaweza Fanya vizuri hata mh.rais aliwahi sema anaweza ajili hata msomi wa darasa LA saba kikubwa afanye kazi kama mh.Msukuma(mb),mh.Antony Mavunde tunaomba uungurume juu ya hili ulibadili.
Kimario na hilo basi vp? Wewe ni agent wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo we kimario umemtapeli baba yako.haiwezekani nauli ya kutoka dom to dar pamoja na yakujikimu kwa wiki moja au mbili ukatumia milioni.
 
Nakumbuka mof walikuwa wanarefund costs ulizotumia ukiitwa kwenye interview pia kuna a certain pyrethrum coy nilowahi fanya interview kwao Iringa-Mafinga wakanirefund and that was the longest oral interview niliyowahi kuhudhuria nilipigwa maswali saa zima kitu tit for tat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani uweze kujigharamia masomo halaf ushindwe gharama za kwenda kwny interview?!

Umesikia wapi duniani kuna sheria hiyo?
Sio lazima mpaka ianze mahali pengine duniani kaka acha na wao waje kujifunza,makampuni uwezo huo wanao unadhani Voda,Zantel,airtel au Tigo huingiza sh ngapi kwa siku,sasa ndio washindwe kukuwekea sh.laki moja tena huajili labda Mara moja au mbili tu kwa mwaka,mbona Rwanda wameweza kubana wachungaji huenda wengine wakaiga,na sie tunaweza kulipa interview wasomi,wengine wakaiga,sio kila siku jibu liwe umeona wapi duniani
 
Sio lazima mpaka ianze mahali pengine duniani kaka acha na wao waje kujifunza,makampuni uwezo huo wanao unadhani Voda,Zantel,airtel au Tigo huingiza sh ngapi kwa siku,sasa ndio washindwe kukuwekea sh.laki moja tena huajili labda Mara moja au mbili tu kwa mwaka,mbona Rwanda wameweza kubana wachungaji huenda wengine wakaiga,na die tjnaweza kulipa interview wasomi wengine wakaiga,sio kila siku jibu liwe umeona wapi duniani

Kwahiyo unadhani hizo kampuni zinaingiza nyingi basi watumie tu hovyo?!

Km unaona interview gharama usiende
 
N
kwahiyo we kimario umemtapeli baba yako.haiwezekani nauli ya kutoka dom to dar pamoja na yakujikimu kwa wiki moja au mbili ukatumia milioni.
Ndio mana nimeweka huo usafiri kwanini upande magari mabovu,unalipia bus zuri,unalala gesti nzuri na kula Chakula mgahawa mzuri unafurahia elimu yako,hivyo kampuni lazima zilipe
 
ukielewa demand and supply vizuri .. hutapata shida... kuna watu wengi tu wanalipiwa nauli.. ila lazima uwe na skills ambazo wenzako hawana..
 
Back
Top Bottom