Ombi...

Ombi...

kedekede

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2016
Posts
5,313
Reaction score
7,714
Nawasalimu,

Mwenzenu nilileta uzi humu zamani kidogo juu ya afya yangu mbovu ya presha na moyo,Niwaombe tafadhwal,kama uzi wako unaanza na neno TANZANIA tafuta neno jingine mnatushtua sana tunafikiri ni TANZIA
 
Hapo sawa maana kuna member mmoja alituaga huku sasa hajajitokeza tena sijui hali ipo vip huko aliko. Ila mungu ni mweza wa yote na hili litapika kama vile tauni, ukoma na surua
Nipo lock down mkuu sitoki ndani na sitaki hata wageni
 
Back
Top Bottom