Wachungaji wa Kondoo Wa Bwana ni Mahiri kwa "kutongoza" toka tumboni mwa Mama zao!
Hahahahahahahah,
Mkuu umenikumbusha enzi zile mlivyokuwa mnawadanganya watoto wa shule za sekondari, wanajimwaga hostel kubadilisha menu!!!
Kuna watu hakika wana kesi za kujibu....!!!