kuritovu
Member
- Dec 29, 2021
- 60
- 24
Habarini wakuu..
Kama mada inavyojieleza hapo juu kiukweli mimi namkubali sana ommy D jinsi anavyoeleza picha zake inshort zinaeleweka sanaa hautumii nguvu kuelewa muvi inahusi nini..
Kwa apa bongo ata na Kenya sidhani kama Kuna mkl wa kuwaka maneno ya kiswahili kwenye picha za kizungu...anaemfikia ommy d
JE we unampa asilimia ngapi ommy D mkali wa muvi za single na season za ukwee na MAALUMU kwangu mi Nampa 100% uyu jamaa anajua sana aise na ingependeza kama ungedondosha na muvi yake aliyoitafsri na umeeicheki ukuikubali
Karibu sanaa
Kama mada inavyojieleza hapo juu kiukweli mimi namkubali sana ommy D jinsi anavyoeleza picha zake inshort zinaeleweka sanaa hautumii nguvu kuelewa muvi inahusi nini..
Kwa apa bongo ata na Kenya sidhani kama Kuna mkl wa kuwaka maneno ya kiswahili kwenye picha za kizungu...anaemfikia ommy d
JE we unampa asilimia ngapi ommy D mkali wa muvi za single na season za ukwee na MAALUMU kwangu mi Nampa 100% uyu jamaa anajua sana aise na ingependeza kama ungedondosha na muvi yake aliyoitafsri na umeeicheki ukuikubali
Karibu sanaa