Ommy Dimpoz afunguka juu ya madai ya wengi kuwa kavaa viatu vya kike

Hujui kuna gay wanaingia maduka ya kiume? Waliwekewa wao. Huo mkato wa pembeni ni vya kike.
 
Binafs sijawah ckia labda nyie wenzangu, tusaidiane apa

Sema unataka kujua demu wake ni nani ili ukaanzishe thread...sasa mimi najua bebz kibao aliotoka nao,na demu wake wa ss ila sikwambii ng'o.
 
Kuna mengi ya kujadili wadau kama viatu ni vyake mwacheni aende na fashion haki kimsingi anayo.Tusiwe mal8mbukeni kwa mada ndogondogo kama hizi..

Kwenda na fashion haikatazwi...ila kuna zingine ukiwa mtoto wa kiume inabidi uweke mipaka..mfano kuvaa kisuruali chenye maua maua kama hicho tena kinabana hakileti picha nzuri..na hivyo viatu uwa naona kina dada wanavaa uku mtaani..
 
Sema unataka kujua demu wake ni nani ili ukaanzishe thread...sasa mimi najua bebz kibao aliotoka nao,na demu wake wa ss ila sikwambii ng'o.

Nilisikia alitok na Lisa, lulu na vannesa mdee ila siku zinavyozid kwend tetes zinapungua nguvu, to faut n ndomo ambaye inajilkn kabisa simba mla nyama.

N sawa saw n martin yy anapiga picha z ajab n mademu kibao kama wema,Jacky n mastaa wengine kibao tena picha tata ila demu wake hajulikan n wal wat hawamzungumzii akipig pich mby n madem
 

Hata mwanangu wa miaka mitano lazima atasema ni vya kike, hawa wasanii wanaiharibu jamii hajui kuwa kuvaa kwake kutafanya vijana wadogo waige
 
hivi viatu kweli vipo na wanaume wanavaa kwani viatu vinamajina hivi vya wanawake na hivi vya wanaume mbona madem tunavaa raba zas kiume hamsemi achene ushoga bhana ndo fashion hiooo
 
Tatizo ni kuwa hata hao madesigners wanaotuletea hizi products asilimia kubwa sana hawako straight...

Sure mkuu ma designer ni matatizo Diamond nae alshawah kutupia kitu cha sketi
 
ommy dimpoz ''mapoz kwa poz''....come on people what else do you want...?
 
kama hata wewe hujawai kumsikia demu wake basi hapo kunatatizo sio bure.

hata warumi hasiwe na taarifa!...nakubaliana nawe , hapo kuna jambo
 
Last edited by a moderator:
hahaha ila no ubishi ase wadau ..
huu mzigo wa kike full stop
:evil::evil::evil:
 
Kweli kusoma ni jambo zuri sana mimi nikiona kiongozi anapigania raia wake waende shule anakuwa anafanya jambo zuri.Sasa Ommy dimpoz anasema yeye kanunua maduka ya kiume wakati kama ni ya kike ni ya kike tuu so hivi vimodo vyenye flaizi fupi tuvialalishe kama walivyoamua wkt ni model ya kike.Kweli huyo upstairs yake ni uji umejaa.
 
Kwan tumemuuliza kanunua pea ngapiiu bwana! !??tunajua yupo na mheshimiwa first class anagharamiaa ye ale mema ya nchi
 
Utazunguka tu mbuyu vaa basi na sketi kabisa kama domo ili utuambie fasheni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…