Ommy Dimpoz akiri kununua views Youtube kwenye wimbo wa Wanjera

ndio maana najiulizaga Diamond anawazidi vipi P.square kwa viewer wakati hana umaarufu kama P.square wanavyojurikana dunia nzima
 
Hii week ommy atakoma maana mnamsakama sana kijana wawatu khaaa
 
hata mm naanza hako kabiashara kakuuza viewers .....karibuni...kwa mawasiliano zaid njoo PM
 
Swali langu inamana wasanii wakubwa hawajui kununua hadi huyu anawazi akili
 
Tunasemaga siku zote watu wachunge kauli zao inawezekana vipi mtu ununue viewers afu google wakulipe haya ni maajabu inamana unanunua viewers kwa google afu hao hao google wanakulipa non sense
Shule nayo inachangia
 
Unaweza kununua viewers. ..usibishe usichokijua kama unabisha weka video yako youtube kisha lipia tuingie mzigoni
 
mleta uzi unaniaibisha sana yn, bora basi mada yako ingekuwa kwa mfumo wa swali ili tukujibu! lakn ndo umejifanya mjuaji!!!
 
mleta uzi unaniaibisha sana yn, bora basi mada yako ingekuwa kwa mfumo wa swali ili tukujibu! lakn ndo umejifanya mjuaji, shwain!!! baki na ujinga wako.
Hivi kw akili yako yaani unaweza kununua view afu YouTube wasikushtukie tena kwny izo channel zenye matangazo ya google szan kama inawezekana maana na wenyewe wana security mkubwa......

Na ingekuwa kama kweli domo ananunua view acc yake ya YouTube ingekuwa ishafungiwa na asingepewa ile tuzo na google kama ndo msanii acc yake ya YouTube ina nguvu sana kwa huu mwaka
 
Imetosha na threads za Ommy jamani khaaaa!

Acha azungumziwe, kwani si ndo kiki zenyewe?

Ninaamini baada ya hili sekeseke kuna views zimeongezeka kwenye kazi za jamaa.
 
Mleta uzi ndo hujui haya mambo. Views zinanunuliwa na kuna website maalum kabisa ya kununua views.
Huo utaalamu wako wa IT umesomea wapi mkuu??

I agree wid u kabisa ni kweli views unaeza kununua na hata mm nishawah kununua views kwenye ishu flani ya kibiashara. Lakin kwa issue ya diamond na dimpoz cdhani kama Diamond ananunua views, kama ananunua bac labda ilikua zamani. Nasema ivo kwa sababu hata mm niliekua nikinunua views 1000 tu kwa ajili ya ushindan wa biashara nilikua napata warning from Youtube na kuna muda hadi video zinafungiwa au zinakua deleted. Youtube inatambua Bot views na real views. Kama sio ivo bac kila mtu angekua ananunua views ili alipwe na youtube, huwezi niaminisha Views milioni 1-2 za diamond ni za kununua wakat mm wa views 1000 tu vdeo yangu ilikua deleted. Kama alikua ananunua zamani yawezekana, ila sio kwa saivi tena ndo ulinzi wa fake views ni mkubwa zaidi.
 
Nimekusoma mkuu.
The issue here ilikuwa ni kwamba unaweza kununua views au huwezi. Ishu ya hao jamaa wawili is not our interest in this issue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…