Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Swali langu inamana wasanii wakubwa hawajui kununua hadi huyu anawazi akili
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] basiWala hata hakomi.
Ommy amewa-outsmart team ndomo wanahaha kama yule mbwa wa kwenye tangazo la cocacola
Umeyajuaje haya mkuu ......??Huwezi kumwita mwanaume mwenzako shoga kama na wew hujipigi madole
Hebu tuwekee MWENDELEZO WA HAPO KWENYE KUNUNUA (maana hapo pamewekwa idadi na pesa ya kulipia) SASA KWA WEWE KUTUWEKEA KITU KISICHOONEKANA MWENDELEZO WAKE,SI RAHISI KUJUA KAMA HIYO WEB SI FAKE AU SI MATAPELI,TENA IKIWEZEKANA WEKA HADI HATUA YA MWISHO INAVYOKUWA ....????www.buyyoutubviews.com
Hiyo ni moja kati ya website nyingi. Na huko mbele watu wengi wanafanya. There has been a lot of cases of people buying or trying to buy views.
Yani unataka nifanye kama nanunua au? If that is what you want, you can do it by yourself...follow that link and fata maelekezo yake.Hebu tuwekee MWENDELEZO WA HAPO KWENYE KUNUNUA (maana hapo pamewekwa idadi na pesa ya kulipia) SASA KWA WEWE KUTUWEKEA KITU KISICHOONEKANA MWENDELEZO WAKE,SI RAHISI KUJUA KAMA HIYO WEB SI FAKE AU SI MATAPELI,TENA IKIWEZEKANA WEKA HADI HATUA YA MWISHO INAVYOKUWA ....????
ENDELEZA HATUA ZINAZOFUATA,HADI ILE YA MWISHO KABISA.View attachment 439570View attachment 439571only $2 1000 followers
MI SIWEZI KUZIFUATA HIZO HATUA KWASABABU NAJUA HAO NI WEZI NA NI MATAPERI,WE UNAONAJE NAKOSEA........??Yani unataka nifanye kama nanunua au? If that is what you want, you can do it by yourself...follow that link and fata maelekezo yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ommy amewafanya hapo madale mchanganyikiweENDELEZA HATUA ZINAZOFUATA,HADI ILE YA MWISHO KABISA.
It's your "personal" judgement, why should i concur with it?MI SIWEZI KUZIFUATA HIZO HATUA KWASABABU NAJUA HAO NI WEZI NA NI MATAPERI,WE UNAONAJE NAKOSEA........??
HEBU TUWEKEE HADI HATUA YA MWISHO KABISA YA KUNUNUA KAMA HIYO WEB INAVYOTUAMBIA HAPO JUU.Watu wananunua followers na views /likes safi tu.
we uonagi mtoni lil Wayne akitoa status ikiwa na just now au 1minute ago tu ina likes elfu 50 comments elfu 20
ndio jibu hilo,hongera umeona watu wanasema unaweza kununua viewers na wewe ukadandia kisa wameweka WEB,haya sasa kama mnachokisema ni kweli wekeni mwendelezo wa hapo hadi hatua ya mwisho kabisa .........????[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ommy amewafanya hapo madale mchanganyikiwe
Mleta uzi ndo hujui haya mambo. Views zinanunuliwa na kuna website maalum kabisa ya kununua views.
Huo utaalamu wako wa IT umesomea wapi mkuu??
KWAHIYO WEWE HUWEZI KUDHIBITISHA ULICHOKIONGEA ........... BASI NA WEWE NI MZUSHI,NA HAPA SI SEHEMU YA WAZUSHI. HITIMISHO NI KUWA HUWEZI KUNUNUA VIEWERS, NA KAMA YUPO ANASEMA UNAWEZA AWEKE HAPA HATA SCREENSHOOT ZA SIKU ZA NYUMA ALIZOWAHI KUNUNUA.It's your "personal" judgement, why should i concur with it?
Ndugu yangu unafikiri kwa kutumia nini? Buying views ni crime, so unataka watu wajikamatishe ili tu kuokoa kiu yako ya kutetea ujinga wako?KWAHIYO WEWE HUWEZI KUDHIBITISHA ULICHOKIONGEA ........... BASI NA WEWE NI MZUSHI,NA HAPA SI SEHEMU YA WAZUSHI. HITIMISHO NI KUWA HUWEZI KUNUNUA VIEWERS, NA KAMA YUPO ANASEMA UNAWEZA AWEKE HAPA HATA SCREENSHOOT ZA SIKU ZA NYUMA ALIZOWAHI KUNUNUA.
Si umeona hapo wamesema likes 100 kwa usd 2? Kwa Demo tuweke likes elfu 10 so weka mpunga usd200 kisha ukishaamini tunawaambia wapige 40k views per day hiyo itakuwa total tunawapa usd 5000.HEBU TUWEKEE HADI HATUA YA MWISHO KABISA YA KUNUNUA KAMA HIYO WEB INAVYOTUAMBIA HAPO JUU.
acha uongo na uelewa finyu, huwezi kununua viewers kama una matangazo ya google adsense account yako itafungwa na hautapea hata senti.. rudi tena kusoma terms za adsense, nina uzoefu wa haya mambo mwaka wa saba sasa.. account ya diamond ina adsense hawezi kununua viewers, adsense wanataka organic traffic ana social media traffic software, huwezi kununua traffic ukapona kwenye google adsenseMleta uzi ndo hujui haya mambo. Views zinanunuliwa na kuna website maalum kabisa ya kununua views.
Huo utaalamu wako wa IT umesomea wapi mkuu??