Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
jinamizi la Marehemu lazima lizae nae huwezi kutukana mamba kabla hujavuka mto, walikuwepo watu wenye hela na mafedha wako wapi leo. Sanaa ya Bongo ina muda wake kuna leo na kesho kauli aliyotoa kwa marehemu ngumu kuifuta na itam-cost sana kwenye sanaa yake na nyimbo zake tatu
alisema nini?[/QUOTE
alikuwa anawaambia wadau kuwa amechoka kuona tunazika wasanii masikin wenye majina makubwa,hivo akaomba kampun ziwekeze kwa wasanii mfano wawe ata mabalozi,ili wanufaike na kazi za sanaa,
ngoja niongee yangu sasa ,msanii kama ngwea amekufa masikin na hio hakuna ubishi japo alikubalika sana na alianza kitambo,hio inatokana na kunyonywa sana,ngwea akustahili kufa maskini
alisema nini?[/QUOTE
alikuwa anawaambia wadau kuwa amechoka kuona tunazika wasanii masikin wenye majina makubwa,hivo akaomba kampun ziwekeze kwa wasanii mfano wawe ata mabalozi,ili wanufaike na kazi za sanaa,
ngoja niongee yangu sasa ,msanii kama ngwea amekufa masikin na hio hakuna ubishi japo alikubalika sana na alianza kitambo,hio inatokana na kunyonywa sana,ngwea akustahili kufa maskini
big like.!
alisema nini?[/QUOTE
alikuwa anawaambia wadau kuwa amechoka kuona tunazika wasanii masikin wenye majina makubwa,hivo akaomba kampun ziwekeze kwa wasanii mfano wawe ata mabalozi,ili wanufaike na kazi za sanaa,
ngoja niongee yangu sasa ,msanii kama ngwea amekufa masikin na hio hakuna ubishi japo alikubalika sana na alianza kitambo,hio inatokana na kunyonywa sana,ngwea akustahili kufa maskini
hichi ndicho alicho kuwa ana maanisha na hakukuwa na makosa kwenye maana hii. je hichi ndicho alicho kiandika hadi kikaleta sintofahamu?
wasanii wetu ni ukurupukaji ndio unaowasumbua.!!
Umbumbumbu ndio unawasumbua wasanii wetu. Hawajui kuwa ukiishafikia kuwa Super Star unatakiwa kupiga Tution ya Communication Skills na Public Relations ili uwe unajua unaongea na kuandika nini kwenye media. Sa sijui akifika kwa familia yake ataanzaje kuomba msamaha?? Labda akaombe kaburini
wasanii wetu ni ukurupukaji ndio unaowasumbua.!!
Ilikuwa haina haja kuomba msamaha kuongea ukwel c dhambi ila yy ndo anataka kutuaminsha kuwa alikosea
hahahahah naona kakiri kufanya kosa. sasa haraka za kumshambulia shigongo japo si mhariri alizitoa wapi? hii ni aibu kwake
hichi ndicho alicho kuwa ana maanisha na hakukuwa na makosa kwenye maana hii. je hichi ndicho alicho kiandika hadi kikaleta sintofahamu?
aliongea na maneno ya kejeli,wala hasingziwi