Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,771
- Thread starter
-
- #21
jamaa anajua na anajinga sana kabla ya kuachia wimbo wowote.
sijausikia lakini I do expect a good song from him
Kwahiyo ndo amekutuma uje kutuambia?
umenichekeshaje hahaaha ila nisije kuambiwa nabakwa bure....
Kila mtu anajua kuwa wewe ni mfua boksa za Diamond. Kujichekesha kwako wala hakumshangazi mtu yeyote.
usiwe unakurupuka kupayuka kama hujui mambo.......
heaven on deserthufui boksa za Diamond wewe?
nyie acheni wivu wa kishoga kama mtu ametoa nyimbo nzuri anastahili pongezi siyo majungi
niliongea na wewe? Unaumwa nini.
hufui boksa za Diamond wewe?
heaven on desert
Heaven on earth
next time uwe makin as to whom ur adressing what!!!!!
nimekusamehe bure
Linaitwa ''Tupogo.'' Huyu dogo amejaliwa sana kwa kweli.
Hakuna wimbo pale,labda ahonge hao babu zake wa blauuuz fm waurushe tu