Ommy Dimpoz Atoa dukuduku lake Baada ya Kutoa Ngoma Yake ya Kajiandae

Angalia Dimpoz ana subscribers wangapi na Mondi anao wangapi?
Piga kazi bhana
 
Hawa wasanii wananichosha wanakaa kimya wakirudi wanatafuta pa kutokea,ushatoa wimbo wako waache mashabiki waupokee kama Mzuri utahit tuu.
 
Kwani Ommy dimpoz kamtaja mnunuaji[emoji3][emoji3]
 
Na Kwa Kuongezea Siyo Kwamba Watu Wote Wanaofollow Wanakuwa Online Muda Wote Msanii Anaopost
 
Huyu Ommy
kila akiongea anaongea ujinga
na hajifunzi kudanganya

Google wanalipa pesa ukiwa na viewers wengi
unafikiri google wajinga kihivyo wasijue haya mambo?
wapoteze hela zao ovyo ovyo?
Ni kweli wanalipa, na wanao cheat wanaweza kufungiwa account, ila unaweza kununua traffic kwa njia ambazo zinaruhusiwa, inategemea unafanyaje, mfano kwa video unaweza uka share kwenye site zenye traffic nyingi kwa kuwalipa wenye hizo site wakuwekee, ukai sponsor video facebook au insta, au mtu akauwekea video yake kwenye account yake ya Youtube yenye subscibrers wengi n.k, na sioni kama kuna ubaya kwa kuwa ni moja ya njia za kujipa promotion kufahamika zaidi
sijaona mantiki ya malalamiko yake...
 
Kuna watu wameshaamua kujiajiri kwenye mziki. Kwao mziki ni biashara so ndo wanakofikiria sana jinsi ya kufanya vema zaidi. Kwa msanii aliyepo Bongo na amesha hit international platform sidhani kama anaweza kuinvest sana kwenye kununua views cause fan base yake tayari imeshasambaa vya kutosha across the globe. Anaweza kununua views yes lakini sidhani kama anaweza kuinvest hela nyingi sana kwa ajili ya hiyo.
Ommy anaweza akawa ana ukweli anaoungea lakini pia tuangalie na possibility upande wa pili.
 
Kwani jamani Dimpoz kamtaja Diamond hapo? wengine tulikuwa hatujui hicho alichokisema,sasa suala msanii anayefanya hivyo hilo ni lenu nyie.

Hata Ali kiba alipondwa sana kuhusu zile tuzo ila mwishowe kapewa.
 
Kwani jamani Dimpoz kamtaja Diamond hapo? wengine tulikuwa hatujui hicho alichokisema,sasa suala msanii anayefanya hivyo hilo ni lenu nyie.

Hata Ali kiba alipondwa sana kuhusu zile tuzo ila mwishowe kapewa.
Coz kuna malalamishi kibao kwa bwana domo kuwa ananunua views ndo maana watu wanahisi kuwa jiwe limetupwa kwa bwana platinum
 
Hakuna cha ukweli apo ni porojo tu ununue views alafu unafaidika na nn
 
"Malalamiko kibao kama mtoto kambo"-Mwana FA. sipendi watu kila siku ni kulalamika badala yakutafuta mwenzao anafanyaje
 
Hivi ni ushuzi wa chakula gani domo kawapumulia hawa wenzie?!!maana unawalewesha vbaya ati!!
 
Wewe ndio unaekurupuka kwani nani bongo hii akiweka tu video u tube kunafurika? Kwahiyo ommy amewazidi uelewa u tube ambao wanagawa tuzo ? huyo mtu ananunua kwa faida ipi? ni utoto tu, whether alisema kwa nia njema au mbaya
Dimpoz hajawasema washindi wa tuzo za YouTube.

Tafuta video ya interview usijadili kutokea hewani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…