ommy dimpoz kuleta stress!

ommy dimpoz kuleta stress!

Muuza Sura

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,985
Reaction score
1,352
Muda wa wakongwe wa bongo flava kuacha game au kuzidi kupata stress unazidi kuwadia!!nimebahatika kukiona kichupa kipya cha ommy dimpoz kilichofinga south africa na adam juma wa visual lab!ni zaidi ya msiba!kichupa kimesimama balaa nakitabiria kukimbiza sana runigani ni next level kiukweli
 
Mkuu, ommy dimpoz ndio nani? Tujuze nasi tumfahamu,,ili twende sawa!
 
Nakuaminia mkuu hata nai nai ulisema itakimbiza na kweli nai nai imekimbiza kumshika ommy dimpoz baadaeeeeeee!!
 
Nakuaminia mkuu hata nai nai ulisema itakimbiza na kweli nai nai imekimbiza kumshika ommy dimpoz baadaeeeeeee!!

Kichupa kimesimama mzazi trust me!humo dimpoz kakoga hatari halafu hizo shots za adam juma kama hype williams!!!
 
Kichupa kimesimama mzazi trust me!humo dimpoz kakoga hatari halafu hizo shots za adam juma kama hype williams!!!

Kama ni level za Hype Williams basi 'salute' kwa jombaa...
 
Ntakubaliana na uzushi wote unaoleta huku...ila la omy dimpoz kumkaza Lisa ni ndoto za ally nacha...yule demu ni tawi la juu sana ndugu yangu
Kama kuna nchi ya mapimbi na maboya wewe unastahili kuwa mfalme wao!!!unamwekea dhamana mtoto wa kike!dah!badilika mwana hawa watoto wa kike wanakazika tu!wewe kama una demu utakuwa unagongewa sana kwa ku underestimate wanaokugongea!domo raia walipinga kama anamkaa kidot sasa mambo hadharani!
 
Ommy dimpoz ndo rais wa ngapi wa marekani jaman?
 
[
mbona wewe muoga sana!
QUOTE=Gold Addict;4461992]Ntakubaliana na uzushi wote unaoleta huku...ila la omy dimpoz kumkaza Lisa ni ndoto za ally nacha...yule demu ni tawi la juu sana ndugu yangu[/QUOTE]
 
Kama ni level za Hype Williams basi 'salute' kwa jombaa...
Kichupa kimesimama bab siyo kama vile vichupa vya A.Y anavyotumia nguvu nyingi kuvipromote halafu mwisho wa siku kichupa full giza kama film za vichekesho star tv
 
kiukweli yule mdada ni mrembo nahisi hata hao waliokuwa wanachukua shooting walifanya kazi ya ziada mana dada ni mremboooooooo.
 
Tully yupo juu mbaya! Nimemkubali ommy pale! Atauza mbayaaaa!
 
kiukweli yule mdada ni mrembo nahisi hata hao waliokuwa wanachukua shooting walifanya kazi ya ziada mana dada ni mremboooooooo.

Nataka kujiweka kwa yule mdada!vipi ntaosha au ntajichoresha?nataka niuze nae sana nyago mjini!...
 
Back
Top Bottom