Gold Addict
Senior Member
- Sep 5, 2011
- 150
- 42
Nataka kujiweka kwa yule mdada!vipi ntaosha au ntajichoresha?nataka niuze nae sana nyago mjini!...
dah kwa hilo mimi sijui mana sijui physical appearance yako...............Nataka kujiweka kwa yule mdada!vipi ntaosha au ntajichoresha?nataka niuze nae sana nyago mjini!...
Ntake radhi wewe mimi kabula wa nini!hizo level za malocal kina mr nice,chuzi na bushoke!!!acha uoga huyo cleo mwenyewe anaweza kukaa kwangu!naamini yule ni cheap model kuliko unavyodhani na hata nikimng'oa yeye ndo hatoamini kama kang'olewa na na mimi!Muuza Sura hapo tu ndo unaponiacha hoi...hizo ni level za kina dj cleo....sidhani hata kama una uwezo wa kumn'goa jini kabula
Ommy dimpoz kaleta unyama katika kichupa kweli watoto wa donta wabishi!dogo ana nyimbo mbili utasema ana nyimbo mia anavyojua kung'arisha jina lake mjini chini ya meneja wake kijana mdogo muba mzazi!!!!
Ntakubaliana na uzushi wote unaoleta huku...ila la omy dimpoz kumkaza Lisa ni ndoto za ally nacha...yule demu ni tawi la juu sana ndugu yangu
Mchane pimbi huyo ambaye analeta uoga!kwa kuwa lisa jensen ni malaika, au???????????????????????
mbona kuna mchizi wangu huku chuo anamega?
watu bwanaaaa!!!!!!!!!!
Ommy simchengukii ila kichupa mimi mwenyewe mbishi ila kimenistua!!!unajua bongo bila unyama hutoki wewe mcheck mtu kama rich mavoko anajua ila hana unyama ndo maana hastui!Dah! mkuu mbona kama dizaini flani hiv unampiga promo?!! ........
Ommy simchengukii ila kichupa mimi mwenyewe mbishi ila kimenistua!!!unajua bongo bila unyama hutoki wewe mcheck mtu kama rich mavoko anajua ila hana unyama ndo maana hastui!
Mia mzazi!!ila hupinganagi na mimi bali na kauli zangu!...watu hushindwa kusoma game ya bongo hao uliowataja ni mikosi ila siyo wanyama!mavoko na belle wazee wa njaa ila nyota zao hazijashine!Mimi siku zote uwa napingana na wewe lakini kweli nimekubari kauli yako, kweli bongo bila unyama hustui. Mfano rich mavoko, belle 9 wanajua sana tu lakini ndiyo hivyo. Kauli yako ina point sana
Ommy simchengukii ila kichupa mimi mwenyewe mbishi ila kimenistua!!!unajua bongo bila unyama hutoki wewe mcheck mtu kama rich mavoko anajua ila hana unyama ndo maana hastui!